BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Ukweli mchung japo naona baadh ya watu wanakutolea mapovu.miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..
hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...
diamond miaka 28 utajiri wa bilion...
kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Yaan siku zote ww huwezi kuwa na mawazo positive mkuumiaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..
hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...
diamond miaka 28 utajiri wa bilion...
kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Kuna kitu Kinaitwa Talents Duniani.Unakijua?Kuna kitu kinaitwa shule Unakijua vizuri?miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..
hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...
diamond miaka 28 utajiri wa bilion...
kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Mwanamke ata awe vipi msaada wa mwanaume unaitajika sijui tunakosea wapi ata sijuagi.na mimi nilikuwa nawaza kama wewe mkuu, ngoja nikupe like.
Dunia hatuwezi kuwa sawa kipindi samata atastaafu huyu atafanya kazi hadi umri wa Ndulu ili hiyo pesa ya samata iwe salama kwa nini kila wakati tunafananisha maisha badala ya kukubali kuwa kila mtu anafungu lake (naanza kuwachukia motivational speakers maana wanajza watu akili hewa)Kwahiyo ulikuwa unashauri wamchukue Samata ndio awe mkurugenzi?
Kwa hiyo wote tuingie uwanjani tucheze? Huyo Samatta siku akivunjika mguu itakuwa imebaki stori ila aliyeenda shule hata akatike viungo vyote bado anamatamiaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..
hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...
diamond miaka 28 utajiri wa bilion...
kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
haahaha mwendo wa like tuMambo ya uzi wa likes
ndio maana tajiri na mmilki wa fesibuku "maki zubagi" machale yalimcheza mapema.miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..
hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...
diamond miaka 28 utajiri wa bilion...
kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Dunia hatuwezi kuwa sawa kipindi samata atastaafu huyu atafanya kazi hadi umri wa Ndulu ili hiyo pesa ya samata iwe salama kwa nini kila wakati tunafananisha maisha badala ya kukubali kuwa kila mtu anafungu lake (naanza kuwachukia motivational speakers maana wanajza watu akili hewa)
Kwa hiyo wote tuingie uwanjani tucheze? Huyo Samatta siku akivunjika mguu itakuwa imebaki stori ila aliyeenda shule hata akatike viungo vyote bado anamata