JAPAN CHOSES Mozambique,Ethiopia and Coti vour

JAPAN CHOSES Mozambique,Ethiopia and Coti vour

AZUSA STREET

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
2,007
Reaction score
1,898
Japani imechagua marafiki wa kuwekeza Afrika kuwa ni msumbiji, ethiopia(sio kenya) na mozambique. japan haijaichagua Tanzania kwasababu tz iko mikononi mwa wachina. kenya ipo kwa wamagaribi. inasemekana japani inapambana na china kupata nchi za kufaidi barani afrika na wiki hii waziri mkuu ABE anatembelea africa. hajaja tz.
 
Kupanga ni kuchagua, wahenga walisema. Halafu Msumbiji na Mozambique nadhani ni nchi Moja Sasa wewe umeweka nchi Tatu. Je ni Mbili au Tatu. Fumbuka.
 
Japani imechagua marafiki wa kuwekeza Afrika kuwa ni msumbiji, ethiopia(sio kenya) na mozambique. japan haijaichagua Tanzania kwasababu tz iko mikononi mwa wachina. kenya ipo kwa wamagaribi. inasemekana japani inapambana na china kupata nchi za kufaidi barani afrika na wiki hii waziri mkuu ABE anatembelea africa. hajaja tz.
Eti hajaja TZ?lakini haya mawazo ya kikoloni,dependency, umaskini mtaacha lini nyie?...very sad!
 
japani imechagua marafiki wa kuwekeza afrika kuwa ni msumbiji, ethiopia(sio kenya) na mozambique. Japan haijaichagua tanzania kwasababu tz iko mikononi mwa wachina. Kenya ipo kwa wamagaribi. Inasemekana japani inapambana na china kupata nchi za kufaidi barani afrika na wiki hii waziri mkuu abe anatembelea africa. Hajaja tz.

halafu mie siku zote hiyo red nilidhani ni nchi moja!
 
Japani imechagua marafiki wa kuwekeza Afrika kuwa ni msumbiji, ethiopia(sio kenya) na mozambique. japan haijaichagua Tanzania kwasababu tz iko mikononi mwa wachina. kenya ipo kwa wamagaribi. inasemekana japani inapambana na china kupata nchi za kufaidi barani afrika na wiki hii waziri mkuu ABE anatembelea africa. hajaja tz.
tumegeuzwa vibwengo sasa, wenye pesa wanagawana kama kawa
 
Hujuwi wewe katika nchi zina wa china wengi Africa ni Mozambique,kwani kuna bilateral agreement baina ya Mozambique na China ya kuwa na visa free!

Nenda Maputo, Beira, Pemba, Xaixai, Ihambane, Gaza Province yote ni wa china watupu hadi Mweda mpakani mwa Tz na Moz!

Hakuna Mjapan full wa china!
 
Japani imechagua marafiki wa kuwekeza Afrika kuwa ni msumbiji, ethiopia(sio kenya) na mozambique. japan haijaichagua Tanzania kwasababu tz iko mikononi mwa wachina. kenya ipo kwa wamagaribi. inasemekana japani inapambana na china kupata nchi za kufaidi barani afrika na wiki hii waziri mkuu ABE anatembelea africa. hajaja tz.

Unajua for so long Japanese wamekuwa wagumu sana kubadilika.Business zao nyingi huendeshwa ziki-adhere to Japanese culture & values na hii ndiyo iliyowa-cost mpaka businesses zao nyingi zikashindwa ku-keep up with other Countries' businesses in the market.Kwa mfano huu utamaduni wa Japanese enterprises katika kutoa vyeo vya juu wao hujali zaidi seneority criteria kuliko uwezo wa mtu husika kiutendaji.Kingine,Hawa jamaa walikuwa wazito sana kuwekeza nje ya Japan bila shaka ni kwasababu ya hiyo cultural adherence yao.Tangu Shinzo Abe arejee madarakani ameanza kufanya mageuzi makubwa ya Kiuchumi ili kushindana na Chinese.Japanese wanaita ABENOMICS.
 
Japani imechagua marafiki wa kuwekeza Afrika kuwa ni msumbiji, ethiopia(sio kenya) na mozambique. japan haijaichagua Tanzania kwasababu tz iko mikononi mwa wachina. kenya ipo kwa wamagaribi. inasemekana japani inapambana na china kupata nchi za kufaidi barani afrika na wiki hii waziri mkuu ABE anatembelea africa. hajaja tz.

Naona tunaukubali kiulaiiini the Second Berlin Conference! Yaani tunashangilia jinsi Afrika inavyogawanwa? Nadhani sisi ni mbumbumbu kuliko akina Mkwawa kwa sababu pamoja na kwamba hawakusoma lakini walipigana kulinda heshima za tawala zao lakini sisi tukiona hawaji huku tunalia! Afrika na Waafrika wenyewe tunaenda kombo.

 
Namkubali sana Shinzo Abe,Kwa muda aliokaa nje ya madaraka aliona wapi Japan imejikwaa.Utakumbuka kuwa kabla ya kurudi kwa Shinzo Abe tayari Mawaziri Wakuu kama wanne hivi walishapigwa chini na Japanese ndani ya kipindi kifupi sana.Wakati Shinzo Abe anarejea madarakani alifahamu vizuri changamoto iliyokuwa inamkabili mbele,Hakuwa mjinga alishajiandaa.Kosa lililofanywa na watangulizi wake ni ku-maintain status quo wakitarajia italeta matokeo tofauti.Tangu Shinzo Abe arejee amekuwa akifanya kazi kubwa ya kuihamasisha PRIVATE SECTOR kubadilika katika namna wanavyoendesha shughuli zao za kibiashara ili waendelee kuwa A FORCE TO BE RECKONED with in the global market.Jambo kubwa alilowasisitizia ni kuwekeza zaidi nje na kuuza zaidi nje ya mipaka yao ili kushindana na Mataifa mengine yenye nguvu kubwa Kiuchumi Duniani,Hasa jirani yao China.Japanese sasa hivi wanashindana na Chinese kwa kuwekeza huko USA.Bara la Afrika pia ni sehemu ya mkakati maalum wa Shinzo Abe wa ku-keep Japanese economy going.ABENOMICS at work.
 
Eti hajaja TZ?lakini haya mawazo ya kikoloni,dependency, umaskini utaacha lini wewe?...very sad!
 
Eti hajaja TZ?lakini haya mawazo ya kikoloni,dependency, umaskini mtaacha lini nyie?...very sad!

Kimoyo moyo unatamani ungekuwa Mtanzania! Nchi ya ahadi, kimbilio la wanyonge kama wewe. Utaipenda tu
 
Kimoyo moyo unatamani ungekuwa Mtanzania! Nchi ya ahadi, kimbilio la wanyonge kama wewe. Utaipenda tu
Of course lazima useme hivyo kwa akili yako iliyojaa Matope,Nyerere ingekuwa anaandika humu angekubaliana na Mimi kuliko barbaric and hate ideas zenu towards our neighbours, hata yeye mlimwita mtutsi so hakuna cha kushangaa hapo..and 110% Tanzanian kama una matatizo Nenda polisi.
 
ID nyingine ya Koba

Sihitaji double ID ,and this is the only koba you get ...I think double ID hairuhusiwi so kuliko kuja hapa na kuanza kupakaziana just report to moderators to fix the problem
 
Back
Top Bottom