January Makamba: Papa Fransis Amualika Rais Samia Vatican

January Makamba: Papa Fransis Amualika Rais Samia Vatican

My Take
Sina shaka na mualiko ila Sasa Nina wasiwasi na tabia za Papa kuhusu masuala ya 🌈

View: https://www.instagram.com/p/C2XF0DDNYey/?igsh=dDgzcm5kOGh6Z3Bw

fe18dd7f-fea4-4114-8517-c7ac60a4192c.jpg
 
hapo kwenye neno kaalikwa tunazugwa tu, ila kwa tunaojua nguvu kubwa ya kanisa katoliki na ushawishi wake mkubwa wa kiimani na kuwa na waumini wengi hapo rais samia kaitwa upesi na papa kutokana mauzauza ya uongozi na hali mbaya ya ustawi / maisha ya watanzania kwa sasa na kubwa suala la dp world ambolo strategically kwa uwepo wao hapa tanzania ni hatari kwa maslahi mapana ya kanisa katoliki na shughuli zake
Hujui system ya dunia inavyoendeshwa,kila Rais anatakiwa aonane na papa au mwakilishi wa papa/katoliki , Papa ndiye raisi wa Dunia
 
Back
Top Bottom