January Makamba: Papa Fransis Amualika Rais Samia Vatican

January Makamba: Papa Fransis Amualika Rais Samia Vatican

My Take
Sina shaka na mualiko ila Sasa Nina wasiwasi na tabia za Papa kuhusu masuala ya 🌈

View: https://www.instagram.com/p/C2XF0DDNYey/?igsh=dDgzcm5kOGh6Z3Bw

hapo kwenye neno kaalikwa tunazugwa tu, ila kwa tunaojua nguvu kubwa ya kanisa katoliki na ushawishi wake mkubwa wa kiimani na kuwa na waumini wengi hapo rais samia kaitwa upesi na papa kutokana mauzauza ya uongozi na hali mbaya ya ustawi / maisha ya watanzania kwa sasa na kubwa suala la dp world ambolo strategically kwa uwepo wao hapa tanzania ni hatari kwa maslahi mapana ya kanisa katoliki na shughuli zake
 
hapo kwenye neno kaalikwa tunazugwa tu, ila kwa tunaojua nguvu kubwa ya kanisa katoliki na ushawishi wake mkubwa wa kiimani na kuwa na waumini wengi hapo rais samia kaitwa upesi na papa kutokana mauzauza ya uongozi na hali mbaya ya ustawi / maisha ya watanzania kwa sasa na kubwa suala la dp world ambolo strategically kwa uwepo wao hapa tanzania ni hatari kwa maslahi mapana ya kanisa katoliki na shughuli zake
🌈🌈🚮🚮
 
Papa naona uzee umeanza kumsumbua ameanza kualika tu hata hajui ana mwalika na nani?
Huyo Papa wenu anapenda sana miti 😂😂
Screenshot_20240121-074458.jpg
 
Mtu unafunga safari kutoka huku mpaka Italy tunasema ni fursa adhimu , angekuja yeye papa tungeweza kuwa na cha kusema.
Safari njema kwake.
 
Back
Top Bottom