January Makamba ni Obama ajaye?

January Makamba ni Obama ajaye?

Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174

Bado ana swaga zile za ki chuo chuo za kuiga
 
Hizi mada za kipumbavu mnaandikaga mkiwa wapi? Yaan jitu la hovyo unakuja lifananisha na raia ambaye alikuwa tyr kufanya lolote kwajili ya taifa lake?

Obama mwenzenu alikuwa tyr hata kujichafua na kupata sifa mbaya kwa wafuasi wa mataifa mengine lkn kwenye kutimiza agenda za taifa lake alikuwa mbele sana, just imagine skendo za , kumng'oa gadafi aliyekuwa kikwazo kwa USA na washirika wake, obama alibeba lawama hizi kila pande za dunia kuwa kahusika kumuuwa gadafi ilimladi tu atimize agenda za nchi yake,

sasa huyo kikaragosi wako anaweza kufanya jambo lolote la kujisacrifice sabbu ya waTz na nchi ya Tz?

Muachage kufananisha Viongozi na hawa vibaraka wenu wapumbavu
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Mada Bichwa komwe, na mletewa mada vime balance .
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Mada Bichwa komwe, na mletewa mada vime balance .
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174


Umetumwa umfanyie kampeni mapema??
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Hakuna kitu pale. Unalikosea heshima hilo jina la "Obama"
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Aisee! Unalinganisha Obama na vitu vya ajabu? Makamba ni mpuuzi sana. Visambaa vya hovyo Sana!
 
Kwa nchi hii ya majuha inawezakana kuwa na rais kama huyo. Hii nchi ni kama wamejikotea tu. Ukiongezea na kuwa na wapambe kama wewe ndio mzigo uwe mzito kabisa.
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Kwamba naye ni nusu mtu nusu pepo kama OB.
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Maake hapo kwanza ncheke
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Mmh! Sidhani kama anafanana na Obama. Obama alikuwa na speech za mvuto. Akiongea wasikilizaji wanakuwa captivated. Pia alikuwa anapendwa sana na makundi yote. Sasa sijui kama huyu January ana traits hizo zaidi ya kuzilazimisha kwa kukunja mashati tu!!!
 
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.

Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.

Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.

Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.

Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.

Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.

Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.

Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Naunga mkono hoja
Anza hapa January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President kisha January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in TZ!. kisha January Makamba live! Ndani ya Mikasi EATV!. Watch Now!
P
 
Back
Top Bottom