BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 4,623
- 10,058
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174