January Makamba: Neno la mwisho kwenye hili...

Hajafukuzwa hili neno baya sana, tuombe radhi acha kiburi.

kufukuzwa kuko hivi '' toka ,toka. kwenda, kweeeenda, sitaki mfyuuuuu!

Dada bado hujajibu!

Maana kafukuzwa toka toka toka!

Nataka nijue kosa lake in clear terms!
 
britanicca aisee we jamaa haumpendi January sijui kwanini kila makala yenye kumtaja huyo kijana lazima utie neno mara sio presidential material mara hivi,Roho mbaya hazijengi mkuu, hakuna aliyekamilika hapa duniani kila mmoja ana mapungufu yake, tupendane hata kama tumetofautiana itikadi, dini n.k
Hata Membe simtaki
 
Pesa za wizara uliyo simamia upotevu wake mbona uongelei?
Soon naandika Makala hiyo

Pili ninyi ndo mlimuamini Magufuli,
Nape kafunga bunge
Ukiwa boss TCRA ukapitisha sheria ya hivyo, ona na wewe unadukuliwa

ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

kadukuliwa mwenyewe

nimeipenda hii
 
Dada bado hujajibu!

Maana kafukuzwa toka toka toka!

Nataka nijue kosa lake in clear terms!
Amepumzishwa kwa ajili ya maandalizi ya kampeni za uchaguzi mkuu ujao mwakani, thi is political game ma dear bat, open your ears widely,

Let me tell you something, yaani si ajabu akajiunga na upinzani ili kufanya kitu kinaitwa Political atmospheric instabilities among rivals.

Hivi hamkuwaona Mabele marando, Mrema Lyatonga, wako wapi? na vyama vyao, haya sasa na mzee Lowasa hivi karibuni? Yaani sijui Sumaye, madudu tupu. wale tulo soma kivukoni miaka hiyo kuna kamsemo kalikuwa kanatumika sana kwamba '' its better to be smart than you appear rather than to appear smart than you are'' ndo siasa ya nchi nyingi zilivyo jana na hata leo.
hivi wewe ni Diaspora? au

Ngoja nikwambie sababu zao wana siasa;
-Eti ameshindwa kusimamia muungano.

-Mazingira - ameshindwa kusimamia upandaji wa mikoko huko mtwara.

-Ameshindwa kudhibiti fedha za wafadhiri zinazo tolewa kwa ajili ya kuhifadhi mazingira- wafadhili walikataa kitambo kufadhili.
-Mifuko ya plastic sijui imefanyaje yaani.....
hayo ni maneno hewa. changa la macho kwa wapiga kura wasojitambua.
mkuru anajifanya Makamba aonekane adui maksudi but siyo kweli. hii itamsaidia kwenye mchakato wa kuboresha sanduku la kura kwenye uchaguzi mwakani. sababu huyu dogo ni mtaalam na mjanja sana wa kuiba halafu mwepesi kuponyoka, kujibanza na masanduku fake ya kura

Hii kumuachisha ni zuga tu za kisiasa ili kuwafanya watanzania wasimtilie shaka Makamba atakapo kuwa anatekeleza matakwa yake. pia ku- twist public confidences as well as ku- draws-es attention ya Wa-Tanzania, kwa kile kinacho dhaniwa na wengi ni mpasuko ndani ya Inter-governmental high profile figures' inner circle. mnasahau kabisa suala la upinzani mnaelekeza masikio yenu Magogoni, mnafurahia na kuteta kabisa Political drama eti sasa wanatumbuana wao kwa wao.

.Bado mkuu anawahitaji some more crucial C.C.M's Aristocrats wa kutosha just like this boy January Makamba kuliko kipindi chochote cha yeye kukaa pale Magogoni kwa maana kwamba J.Makamba bado anakubalika na ana ushawishi mkubwa kwa Watanzania walio wengi hasa vijana, (population wise), even more than others easy going prominent figures like Makonda.
Therefore kwa sababu tu ameshaonekana kwa watanzania wote kuwa ni adui wa mkuru, hatotiliwa shaka kutimiza malengo ya C.C.M kwenye mikikimikik ya uchaguzi mwakani, ushauri wa January kwenye suala zima la mbio za uchaguzi mkuu mwakani ni muhimu sana, hata kama hautajionyesha dhahiri. kijana anapata posho kma kawa. anajifanya aonekane ni muungwana baada ya kutemwa vibaya, ili baadaye apachikwe ki ulaini tu kwa uungwana na utii alouonyesha. kwani unaona anaropoka hovyo kuhusu kutemeshwa kazi? dogo anajua hii picha uzuri sana.

Nontheless baada ya ukimya fulani hivi wa Makamba kujificha Bumbuli, atapewa ulaji na kujifanye yale yalikuwa ni ya Siasa yamepita, sina kinyongo tujenge nchi, kwanza anajulikana ndani na nje ya nchi. Yumo kwenye Tano bora, sasa je? wakati mwingine pia no wonders aweza andaliwa kwa mtindo huu kwa nafasi kubwa zaidi kama ya U-Rais. miaka ya mbeleni baada ya mkuru, kumaliza muda wake, mfano mzuri ni kama Mwinyi alivo nyamazishwa sana, akawa km hayupo vile. but from somewhere else akawa Rais.

Mark ma words.
 
Amepumzishwa kwa ajili ya maandalizi ya kampeni za uchaguzi mkuu ujao mwakani, thi is political game ma dear bat, open your ears widely,

Let me tell you something, yaani si ajabu akajiunga na upinzani ili kufanya kitu kinaitwa Political atmospheric instabilities among rivals.

Hivi hamkuwaona Mabele marando, Mrema Lyatonga, wako wapi? na vyama vyao, haya sasa na mzee Lowasa hivi karibuni? Yaani sijui Sumaye, madudu tupu. wale tulo soma kivukoni miaka hiyo kuna kamsemo kalikuwa kanatumika sana kwamba '' its better to be smart than you appear rather than to appear smart than you are'' ndo siasa ya nchi nyingi zilivyo jana na hata leo.
hivi wewe ni Diaspora? au

Ngoja nikwambie sababu zao wana siasa;
-Eti ameshindwa kusimamia muungano.

-Mazingira - ameshindwa kusimamia upandaji wa mikoko huko mtwara.

-Ameshindwa kudhibiti fedha za wafadhiri zinazo tolewa kwa ajili ya kuhifadhi mazingira- wafadhili walikataa kitambo kufadhili.
-Mifuko ya plastic sijui imefanyaje yaani.....
hayo ni maneno hewa. changa la macho kwa wapiga kura wasojitambua.
mkuru anajifanya Makamba aonekane adui maksudi but siyo kweli. hii itamsaidia kwenye mchakato wa kuboresha sanduku la kura kwenye uchaguzi mwakani. sababu huyu dogo ni mtaalam na mjanja sana wa kuiba halafu mwepesi kuponyoka, kujibanza na masanduku fake ya kura

Hii kumuachisha ni zuga tu za kisiasa ili kuwafanya watanzania wasimtilie shaka Makamba atakapo kuwa anatekeleza matakwa yake. pia ku- twist public confidences as well as ku- draws-es attention ya Wa-Tanzania, kwa kile kinacho dhaniwa na wengi ni mpasuko ndani ya Inter-governmental high profile figures' inner circle. mnasahau kabisa suala la upinzani mnaelekeza masikio yenu Magogoni, mnafurahia na kuteta kabisa Political drama eti sasa wanatumbuana wao kwa wao.

.Bado mkuu anawahitaji some more crucial C.C.M's Aristocrats wa kutosha just like this boy January Makamba kuliko kipindi chochote cha yeye kukaa pale Magogoni kwa maana kwamba J.Makamba bado anakubalika na ana ushawishi mkubwa kwa Watanzania walio wengi hasa vijana, (population wise), even more than others easy going prominent figures like Makonda.
Therefore kwa sababu tu ameshaonekana kwa watanzania wote kuwa ni adui wa mkuru, hatotiliwa shaka kutimiza malengo ya C.C.M kwenye mikikimikik ya uchaguzi mwakani, ushauri wa January kwenye suala zima la mbio za uchaguzi mkuu mwakani ni muhimu sana, hata kama hautajionyesha dhahiri. kijana anapata posho kma kawa. anajifanya aonekane ni muungwana baada ya kutemwa vibaya, ili baadaye apachikwe ki ulaini tu kwa uungwana na utii alouonyesha. kwani unaona anaropoka hovyo kuhusu kutemeshwa kazi? dogo anajua hii picha uzuri sana.

Nontheless baada ya ukimya fulani hivi wa Makamba kujificha Bumbuli, atapewa ulaji na kujifanye yale yalikuwa ni ya Siasa yamepita, sina kinyongo tujenge nchi, kwanza anajulikana ndani na nje ya nchi. Yumo kwenye Tano bora, sasa je? wakati mwingine pia no wonders aweza andaliwa kwa mtindo huu kwa nafasi kubwa zaidi kama ya U-Rais. miaka ya mbeleni baada ya mkuru, kumaliza muda wake, mfano mzuri ni kama Mwinyi alivo nyamazishwa sana, akawa km hayupo vile. but from somewhere else akawa Rais.

Mark ma words.

Nakuelewa unachosema!

Ila Jiwe hana akili nyingi kiasi hicho!

He cant pull such a move!
 
Back
Top Bottom