jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
MADUDAkwa hiyo kaenda bumbuli kwa yule mganga wake?pathetic
MADUDAkwa hiyo kaenda bumbuli kwa yule mganga wake?pathetic
Unapokutanaga naye aukwa hiyo kaenda bumbuli kwa yule mganga wake?pathetic
Mbona CAG hakuonyesha ubadhirifu kwenye wizara yakePesa za wizara uliyo simamia upotevu wake mbona uongelei?
Soon naandika Makala hiyo
Pili ninyi ndo mlimuamini Magufuli,
Nape kafunga bunge
Ukiwa boss TCRA ukapitisha sheria ya hivyo, ona na wewe unadukuliwa
Kuna message flani JM anajaribu kuifikisha kwa Umma. Kama Makamu wa Rais alimuelekeza na PM kumsimamia, how come huo "upotevu wa fedha" hawakuuona? au na wao wanahusika somehow? Politics is harder than PhysicsKuna pesa wizarani hazikufanya kazi ilivyotakiwa.. lazima hii aiandike tu.
That is Good.Baada ya kufurushwa jana January angeongea zaidi baadae. Kauli hiyo iliwafanya watu kudhani atafanya press conference. Lakini leo akiwa nyumbani kwao Bumbuli, ameamua kufunga mjadala huo kwa kutoa neno la mwisho. That means hataongea tena kuhusu suala la yeye kufurushwa.!View attachment 1159574
Hiyo profile picture anayo toka 2015Naona hadi DP kabadilisha na kuamua kuunga juhudi. Huwezi mchezea masharubu Amiri jeshi mkuu.
Na JPM ni Political Science yule sio mwana siasa.
Anajua kucheza na calculated risk.
Muulize Lowasa na Membe 2015. Waulize ACCACIA. Waulize na wengine n.k.
Nakupenda TZ nakupenda Rais Wangu.
yule yule tunapokutanaga mimi,yeye na wewe.Unapokutanaga naye au
Ova
Pesa za wizara uliyo simamia upotevu wake mbona uongelei?
Soon naandika Makala hiyo
Pili ninyi ndo mlimuamini Magufuli,
Nape kafunga bunge
Ukiwa boss TCRA ukapitisha sheria ya hivyo, ona na wewe unadukuliwa
Mbona kama vile kaumia Sana'aMaisha yanasonga mbele
factHao aliowataja (Makamu na PM) huenda wamemwambia apotezee tu. He is still young kwenye politics na anaweza akaibuka siku zijazo. JMakamba ana siri kubwa hasa kwa yaliyojiri Oct 2015. Akianza kurelease moja baada ya nyingine, hakutakalika. I think pia hata zile clips wanazorelease akina Musiba hazitatoka tena
Naona hadi DP kabadilisha na kuamua kuunga juhudi. Huwezi mchezea masharubu Amiri jeshi mkuu.
Na JPM ni Political Science yule sio mwana siasa.
Anajua kucheza na calculated risk.
Muulize Lowasa na Membe 2015. Waulize ACCACIA. Waulize na wengine n.k.
Nakupenda TZ nakupenda Rais Wangu.
Acheni uongo.Siri zipi ambazo na yeye hatofungwa?Km ni wizi wa kura nae alikuwa sehemu yake. Anyooshe mikono tuu na kiburi iishe.Hao aliowataja (Makamu na PM) huenda wamemwambia apotezee tu. He is still young kwenye politics na anaweza akaibuka siku zijazo. JMakamba ana siri kubwa hasa kwa yaliyojiri Oct 2015. Akianza kurelease moja baada ya nyingine, hakutakalika. I think pia hata zile clips wanazorelease akina Musiba hazitatoka tena
Hata mimi niliwaza hivyo mkuukwa hiyo kaenda bumbuli kwa yule mganga wake?pathetic
Eti nasikia waziri mpya sio mpya. Eti alijofokaga na makinikia. Ni kweli?JPM sio wa sport sport. Anajua anachofanya
FactTUAZIME TENA HEKIMA YA WANYAMBO
"Nyani asiyekomaa bado (mchanga), huangua kicheko aonapo msitu ukiteketea". Kwa uchanga wake huwa hajiulizi usiku atalala wapi?
"Mtoto mtundu aliyezoea kutukana watu wazima, huwa haishii kwa mmoja".
Tumesikia mengi ya sirini. Hatukupaswa kuyasikia. Nini kinafuata?
1. Wakimaliza ya kwenye simu, watahamia hospitali. Majipu yetu, damu zetu, mikojo yetu, mate yetu, na vinyesi vitaanikwa!
2. Mikopo yetu na bill za baa za bar zisizolipwa zitajukikana. Usisahau mkopo wa nyama wa mwaka jana wakati sasa unakula kisamvu!
3. Toba zetu na vitubio havitakuwa siri tena maana vitaanikwa. Bajameni, acheni kuwasumbua kwa simu watubishaji wenu. Hawana uhakika tena wa kutunza mambo yenu.
4. Kama wana siri hizo, hata "password" za ATM hazina haja tena. Akiba zetu ni akiba zao. Kukwapua mikoba hakufai tena, watu wanachukua wanachopenda kwa kuwa wanamiliki siri zetu.
Bi Kidude hata kama hakuwa Mnyambo, aliwahi kusema "Kunambia siri kisha ukasema nisimwambie mtu, mie siwezi kwa sababu hata wewe umeshindwa kutunza ukaniambia mimi".
Tumejiruhusu kuona "uchi wa mama zetu", acha tupatwe na upofu!!
Baada ya kufurushwa jana January angeongea zaidi baadae. Kauli hiyo iliwafanya watu kudhani atafanya press conference. Lakini leo akiwa nyumbani kwao Bumbuli, ameamua kufunga mjadala huo kwa kutoa neno la mwisho. That means hataongea tena kuhusu suala la yeye kufurushwa.!View attachment 1159574