Wakuu inasemekana leo kuanzia saa kumi jioni kutakuwa na kikao cha ndani cha ccm kitakachofanyika katika madarasa ya shule ya msingi Ngongongare na katika kikao hicho atakuwepo January Makamba na Viongozi wengine wa chama ambao bado sijapata majina yao. Ikiwa kuna mtu aliye karibu na shule hiyo atufahamishe
kitakachoongelewa, binafsi kuna rafiki atahudhuria atakapotoka nitawapasha, lakini kama kuna aliyeko kwenye hicho kikao anaweza kutupa kinachoendelea on time.
kitakachoongelewa, binafsi kuna rafiki atahudhuria atakapotoka nitawapasha, lakini kama kuna aliyeko kwenye hicho kikao anaweza kutupa kinachoendelea on time.