SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Baada ya kutemwa ngazi zote (uwaziri na ubunge) Je Makamba atajiajiri kama Sisi Makenge?
makamba hana njaa kama weweBaada ya kutemwa ngazi zote (uwaziri na ubunge) Je Makamba atajiajiri?
Kwa asili ya watu wa Tanga unaweza kukuta ana wake wengi tuHivi nyie vijana huwa mnawachukuliaje wanasiasa? Mtu kama January Makamba unamuwazia ataishije baada ya kutemwa, serious?
Pesa IPO na mirija ya pesa IPO mikubwa.
Njaa za huyo siyo za kukosa kazi Bali ni kujipanua kisiasa tu.
Je JM hana biashara?Baada ya kutemwa ngazi zote (uwaziri na ubunge) Je Makamba atajiajiri kama Sisi Makenge?
Ana hela ya kutosha na mpaka kufikia sasa unadhani hana vitega uchumi ambavyo atavisimamia kama mtendaji mkuu? Acha akili ya umasikini tena isiyo na fikra za maendeleo mkuuBaada ya kutemwa ngazi zote (uwaziri na ubunge) Je Makamba atajiajiri kama Sisi Makenge?
Point ☝️Hana biashara?
Kama alikuwa na uwezo wa kuinunua Bahari beach hotel kwa bilioni 25, unadhani hana biashara lukuki ndani na nje ya nchi?
Na Ccm huwa mna propaganda nyingi,
Swala la Januari ni propaganda tu, 2026 huenda mkampatia ukatibu mkuu
Kuna rushwa alituhumiwa kutembeza wakati akiwa waziri wa nishati, kwa wabunge na wenzake akina maharange,Baada ya kutemwa ngazi zote (uwaziri na ubunge) Je Makamba atajiajiri kama Sisi Makenge?
Inategemea aliwekeza wapi na kwa kiwango gani?Hivi nyie vijana huwa mnawachukuliaje wanasiasa? Mtu kama January Makamba unamuwazia ataishije baada ya kutemwa, serious?
Pesa IPO na mirija ya pesa IPO mikubwa.
Njaa za huyo siyo za kukosa kazi Bali ni kujipanua kisiasa tu.
Mtu Oktoba tunatiki Hana analojua wapowapo tuHivi nyie vijana huwa mnawachukuliaje wanasiasa? Mtu kama January Makamba unamuwazia ataishije baada ya kutemwa, serious?
Pesa IPO na mirija ya pesa IPO mikubwa.
Njaa za huyo siyo za kukosa kazi Bali ni kujipanua kisiasa tu.
Aende VETA..Baada ya kutemwa ngazi zote (uwaziri na ubunge) Je Makamba atajiajiri kama Sisi Makenge?
Hujaona video anaingia ofisini waandishi wa habari wanamzonga, anawaambia wamejuaje sehemu hii anayotafutia riziki?Baada ya kutemwa ngazi zote (uwaziri na ubunge) Je Makamba atajiajiri kama Sisi Makenge?