lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Kwani tuko india?
mkuu kwani aliiba paper?
Kwani tuko india?
Mbona enzi za nyerere MB hazikuwepo na watu walikuwa wanasoma, tatizo mi wanafunzi ya siku hizi haipendi kusoma kazi kwenda club tu
Mawazo mgando hayo, au bado unataka watu waendelee kuwa na imani za kizamani za kuwaambia watu kuwa ''una tabiri kesho vita itatokea burundi''.
Kawaida tunakwenda mbele, haturudi nyuma
Hivi makamba anafanya nini kama naibu waziri wa mawasiliano? Mbona makampuni ya simu yamebana sana watumiaji wa mitandao?
Utawala wa Nyerere mb 8 zilikuwa kwenye mtandao gani kwa gharama gani?Mbona enzi za nyerere MB hazikuwepo na watu walikuwa wanasoma, tatizo mi wanafunzi ya siku hizi haipendi kusoma kazi kwenda club tu
Sasa enzi za nyerere club zilikuepo?
Mjinga sana huyu jamaa bora kazomewa...... Dada yake atavua chupi sana ila urais watausikia kwenye bomba....... mwanaume mzima anamtuma dadayake awavulie watu chupi ili apate fedha za kampeni, jinga kabisa....January Makamba azomewa na mamia ya wanafunzi katika uchaguzi wa viongozi wa shirikisho hilo kwenye ukumbi wa Karimjee...
Kama imefikia hatua ya kuzomewa na wanafunzi ni muda mwafaka wa kujitafakari..... Kudoz wanafunzi "uzalendo wenu ndiyo mafanikio ya Taifa".....
Mbona enzi za nyerere MB hazikuwepo na watu walikuwa wanasoma, tatizo mi wanafunzi ya siku hizi haipendi kusoma kazi kwenda club tu
Hizo mamlaka nyingine ziko chini ya serikali ya CCM na yeye ni sehemu ya serikali hiyo hivyo waondoke.Ni kweli Makamba ni naibu Waziri lakini sio msemaji wa mwisho katika wizara , yeye kachukua hatua na alitoa taarifa ukurasa wake wa Facebook kilichopo mamlaka husika zilizobaki kuchukua hatua , Makamba anapigania hili kila siku tatizo n mamlaka mengine kufumba macho usimtwishe zigo lisilomhusu