mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
We
We mtu, uko vizuri sana. I Iove this argument!Huwa katika mambo ya saikolojia ni rahisi kueleza kile kilichoko ndani ya moyo wako bila wewe kujua. Ndio maana wanasaikolojia wakikuhoji wataelewa mambo mengi juu yako bila wewe kujua umewaambia nini.
Sasa hii kauli ya Makamba imenishitua sana, "sijakamatwa na Polisi niko salama". Ni jambo la kutisha sana kwamba hata waziri katika serikali ya awamu ya tano anakiri kwamba Mtanzania yeyote akikamatwa na Polisi basi hayuko salama tena! Au kwa namna nyingine, anaashiria Polisi kukufuatilia ni dalili ya kwamba hauko salama!
Lakini kila wakati tunavyoshuhudia mauaji ya raia wakiwa chini ya Polisi basi hatupaswi kushangazwa na kauli ya Makamba.