uwezi kuzima nyota inayong'ara kwamwe. Hata ukienda kwa mgamga watakuambia kuna nyota uwezi kuzizima, juzi nilikuwa nasikiliza radio safina hapa arusha, kuna mganga mmoja aliokoka anaitwa omari(alikuwa maarufu sana tanga) alikiri kuna wateja wake walikuwa wakitaka kuzima nyota za watu hasa wanasiasa lkn ilikuwa vigumu mno, hivyo bas mleta mada nakushauri wewe shughulika na mambo yako kuliko kufuatilia watu vinginevyo utaumbuka,
nawaasa kuwa kuna watu wanataka kuzima nyota za watu km vile zitto, lema, mwigulu, january makamba, nawaakikishia hawataweza kwa sababu zile ni nyota zao wamepewa na mungu kwani kwa mazingira ya kawaida ni vigumu sana kutumia nguvu kuzima nyota za watu,
uwezi kuzima nyota inayong'ara kwamwe. Hata ukienda kwa mgamga watakuambia kuna nyota uwezi kuzizima, juzi nilikuwa nasikiliza radio safina hapa arusha, kuna mganga mmoja aliokoka anaitwa omari(alikuwa maarufu sana tanga) alikiri kuna wateja wake walikuwa wakitaka kuzima nyota za watu hasa wanasiasa lkn ilikuwa vigumu mno, hivyo bas mleta mada nakushauri wewe shughulika na mambo yako kuliko kufuatilia watu vinginevyo utaumbuka,
nawaasa kuwa kuna watu wanataka kuzima nyota za watu km vile zitto, lema, mwigulu, january makamba, nawaakikishia hawataweza kwa sababu zile ni nyota zao wamepewa na mungu kwani kwa mazingira ya kawaida ni vigumu sana kutumia nguvu kuzima nyota za watu,
uwezi kuzima nyota inayong'ara kwamwe. Hata ukienda kwa mgamga watakuambia kuna nyota uwezi kuzizima, juzi nilikuwa nasikiliza radio safina hapa arusha, kuna mganga mmoja aliokoka anaitwa omari(alikuwa maarufu sana tanga) alikiri kuna wateja wake walikuwa wakitaka kuzima nyota za watu hasa wanasiasa lkn ilikuwa vigumu mno, hivyo bas mleta mada nakushauri wewe shughulika na mambo yako kuliko kufuatilia watu vinginevyo utaumbuka,
nawaasa kuwa kuna watu wanataka kuzima nyota za watu km vile zitto, lema, mwigulu, january makamba, nawaakikishia hawataweza kwa sababu zile ni nyota zao wamepewa na mungu kwani kwa mazingira ya kawaida ni vigumu sana kutumia nguvu kuzima nyota za watu,
Makamba ame out source majukumu yake?
Inakuwaje Makamba anatumia muda mwingi
kufanya mambo yasiyo husiana moja kwa
moja na wizara yake?
1. Hivi karibuni tumesikia kawakusanya
wakulima Songea kuzungumzia changamoto
zao
2. Juzi twaambiwa aliwaketisha makasisi
3. Leo kahamia kwa bodaboda ambako pia
hakuhusiani na job description yake
Huyu si miongoni mwa wale mawaziri mizigo?
maana haijulikani ni nani anafanya kazi zake
ofisini