January ame out-source majukumu yake?

Faana

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
31,277
32,320
Makamba ame out source majukumu yake?

Inakuwaje Makamba anatumia muda mwingi
kufanya mambo yasiyo husiana moja kwa
moja na wizara yake?

1. Hivi karibuni tumesikia kawakusanya
wakulima Songea kuzungumzia changamoto
zao

2. Juzi twaambiwa aliwaketisha makasisi

3. Leo kahamia kwa bodaboda ambako pia
hakuhusiani na job description yake

Huyu si miongoni mwa wale mawaziri mizigo?
maana haijulikani ni nani anafanya kazi zake
ofisini
 
ni mojawapo ya mizigo mizito katika serikali,sema anabebwa baba yake alimsaidia sana jk 2010 misikitini alipokuwa katibu mkuu,naona kaanza na makasisi then mzee atamsaidia masjid
 
uwezi kuzima nyota inayong'ara kwamwe. Hata ukienda kwa mgamga watakuambia kuna nyota uwezi kuzizima, juzi nilikuwa nasikiliza radio safina hapa arusha, kuna mganga mmoja aliokoka anaitwa omari(alikuwa maarufu sana tanga) alikiri kuna wateja wake walikuwa wakitaka kuzima nyota za watu hasa wanasiasa lkn ilikuwa vigumu mno, hivyo bas mleta mada nakushauri wewe shughulika na mambo yako kuliko kufuatilia watu vinginevyo utaumbuka,


nawaasa kuwa kuna watu wanataka kuzima nyota za watu km vile zitto, lema, mwigulu, january makamba, nawaakikishia hawataweza kwa sababu zile ni nyota zao wamepewa na mungu kwani kwa mazingira ya kawaida ni vigumu sana kutumia nguvu kuzima nyota za watu,
 
Huyu dogo amegundua wizara yake haina nafasi ya kumkutanisha direct na wananchi sasa ameona ni bora awe anajichangaya changanya na wizara nyingine ili akutane na wananchi
 
uwezi kuzima nyota inayong'ara kwamwe. Hata ukienda kwa mgamga watakuambia kuna nyota uwezi kuzizima, juzi nilikuwa nasikiliza radio safina hapa arusha, kuna mganga mmoja aliokoka anaitwa omari(alikuwa maarufu sana tanga) alikiri kuna wateja wake walikuwa wakitaka kuzima nyota za watu hasa wanasiasa lkn ilikuwa vigumu mno, hivyo bas mleta mada nakushauri wewe shughulika na mambo yako kuliko kufuatilia watu vinginevyo utaumbuka,


nawaasa kuwa kuna watu wanataka kuzima nyota za watu km vile zitto, lema, mwigulu, january makamba, nawaakikishia hawataweza kwa sababu zile ni nyota zao wamepewa na mungu kwani kwa mazingira ya kawaida ni vigumu sana kutumia nguvu kuzima nyota za watu,

Mkuu baada ya maneno yote hayo sasa utuambie, January Makamba ame outsource majukumu yake ya Waziri wa Mawasiliano?
 
QUOTE=kababu;8217243]uwezi kuzima nyota inayong'ara kwamwe. Hata ukienda kwa mgamga watakuambia kuna nyota uwezi kuzizima, juzi nilikuwa nasikiliza radio safina hapa arusha, kuna mganga mmoja aliokoka anaitwa omari(alikuwa maarufu sana tanga) alikiri kuna wateja wake walikuwa wakitaka kuzima nyota za watu hasa wanasiasa lkn ilikuwa vigumu mno, hivyo bas mleta mada nakushauri wewe shughulika na mambo yako kuliko kufuatilia watu vinginevyo utaumbuka,


nawaasa kuwa kuna watu wanataka kuzima nyota za watu km vile zitto, lema, mwigulu, january makamba, nawaakikishia hawataweza kwa sababu zile ni nyota zao wamepewa na mungu kwani kwa mazingira ya kawaida ni vigumu sana kutumia nguvu kuzima nyota za watu,
[/QUOTE]

Mkuu we ni mnajimu?
 
uwezi kuzima nyota inayong'ara kwamwe. Hata ukienda kwa mgamga watakuambia kuna nyota uwezi kuzizima, juzi nilikuwa nasikiliza radio safina hapa arusha, kuna mganga mmoja aliokoka anaitwa omari(alikuwa maarufu sana tanga) alikiri kuna wateja wake walikuwa wakitaka kuzima nyota za watu hasa wanasiasa lkn ilikuwa vigumu mno, hivyo bas mleta mada nakushauri wewe shughulika na mambo yako kuliko kufuatilia watu vinginevyo utaumbuka,


nawaasa kuwa kuna watu wanataka kuzima nyota za watu km vile zitto, lema, mwigulu, january makamba, nawaakikishia hawataweza kwa sababu zile ni nyota zao wamepewa na mungu kwani kwa mazingira ya kawaida ni vigumu sana kutumia nguvu kuzima nyota za watu,

Mkuu Kababu aanza kuonesha dailili za kumrithi Shekh Yahya :)
 
Nilianza kusikia harufu ya shekh mapema!!!! hahahahaaaaaaaaaaaa
 
uwezi kuzima nyota inayong'ara kwamwe. Hata ukienda kwa mgamga watakuambia kuna nyota uwezi kuzizima, juzi nilikuwa nasikiliza radio safina hapa arusha, kuna mganga mmoja aliokoka anaitwa omari(alikuwa maarufu sana tanga) alikiri kuna wateja wake walikuwa wakitaka kuzima nyota za watu hasa wanasiasa lkn ilikuwa vigumu mno, hivyo bas mleta mada nakushauri wewe shughulika na mambo yako kuliko kufuatilia watu vinginevyo utaumbuka,


nawaasa kuwa kuna watu wanataka kuzima nyota za watu km vile zitto, lema, mwigulu, january makamba, nawaakikishia hawataweza kwa sababu zile ni nyota zao wamepewa na mungu kwani kwa mazingira ya kawaida ni vigumu sana kutumia nguvu kuzima nyota za watu,

Yote hayo yametoka wapi mbn uko nje mada?
 
Nyota gani inangara wewe Hebie? Kuna siku tutakuwa na raisi mwendawazimu tusipokuwa macho naapa! Historical background yake ni hovyo kabisa na hajawai kufanya lolote ambalo linampa hata sifa ya u-DC! Najua anadanganywa!
 
Ngoja wamlie hela,anazo za mchezo.
Urais hawezi kupata hata kwa fedha nyingi kiasi gani,maana watanzania wameelimika.
 
Makamba ame out source majukumu yake?

Inakuwaje Makamba anatumia muda mwingi
kufanya mambo yasiyo husiana moja kwa
moja na wizara yake?

1. Hivi karibuni tumesikia kawakusanya
wakulima Songea kuzungumzia changamoto
zao

2. Juzi twaambiwa aliwaketisha makasisi

3. Leo kahamia kwa bodaboda ambako pia
hakuhusiani na job description yake

Huyu si miongoni mwa wale mawaziri mizigo?
maana haijulikani ni nani anafanya kazi zake
ofisini

Mbona bado sijaona wapi ame-out-source shughuli za wizara yake?Didn't i understand?
 
halafu kanaiga na kugandamizia njia na mikakati ya Lowasa. Ngoja Pasco akabaini.
 
Last edited by a moderator:
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom