azithromycim
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 501
- 1,094
Habari za muda huu wana JamiiForums.
Uchumi wa nchi umeathirika uchumi wa mtu mmoja mmoja umeathirika kutokana na athari za MO29 na D9.
Hali hii itaifanya JANUARY 2026 kuwa mwezi mgumu sana kuliko kawaida.
Mwaka 2026 utakuwa mwaka mgumu sana kiuchumi bidhaa zitapanda bei tutarajie kuanzishwa kwa kodi mpya na kuongezeka kwa kodi.
Uchumi wa nchi umeathirika uchumi wa mtu mmoja mmoja umeathirika kutokana na athari za MO29 na D9.
Hali hii itaifanya JANUARY 2026 kuwa mwezi mgumu sana kuliko kawaida.
Mwaka 2026 utakuwa mwaka mgumu sana kiuchumi bidhaa zitapanda bei tutarajie kuanzishwa kwa kodi mpya na kuongezeka kwa kodi.