Januari Makamba na wenzako acheni unafiki

Januari Makamba na wenzako acheni unafiki

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,792
Reaction score
2,421
Wakati Tanesco ikiendelea kutukata tsh 5000 kilamwezi kwenye mita za LUKU kama service Charge pekee nje ya garama za kununua umeme. Garama ambayo kwenye mita za analog haipo.

Mi ninashangaa kuona Januari makamba akimpongeza Jk kwa kukataa tozo za simu za 1000 kwa mwezi kwenye ukurasa wake wa kitabu cha nyuso(facebook).

Unafiki ninaouona hapa kama watanzania tunapokamuliwa tena sana wanasiasa wote tunakaa kimya. Vipi wanasiasa hawa kuja kumpongeza laisi baada ya maamuzi na si kupinga hoja hiyo mapema ambayo aliipitisha kwenye baraza la mawaziri?
 
Wakati Tanesco ikiendelea kutukata tsh 5000 kilamwezi kwenye mita za LUKU kama service Charge pekee nje ya garama za kununua umeme. Garama ambayo kwenye mita za analog haipo.

Mi ninashangaa kuona Januari makamba akimpongeza Jk kwa kukataa tozo za simu za 1000 kwa mwezi kwenye ukurasa wake wa kitabu cha nyuso(facebook).

Unafiki ninaouona hapa kama watanzania tunapokamuliwa tena sana wanasiasa wote tunakaa kimya. Vipi wanasiasa hawa kuja kumpongeza laisi baada ya maamuzi na si kupinga hoja hiyo mapema ambayo aliipitisha kwenye baraza la mawaziri?
hayo ya unafiki wa makamba nakuunga mkono ila labda nisaidie kitu hapa kwanza si kweli hizo analog mita hawalipi services charges wateja wote wa umeme wenye matumizi zaidi ya 50Units kwa mwezi ambao wengi wetu tupo wanalipa services charges uwe na LUKU au na hiyo convention meter (analog) unalipa Tsh 3841 na bei ya unit moja ni Tsh 221. tu.. naomba kuchangia kweli hili
kwa maelezo zaidi unaweza tembelea hapa
Electricity Charges
 
ni kero kubwa sana hii; hata hiyo setting ya 50 unit inazingatia nini? kiuhalisia matumizi ya kawaida tu ya watu wengi ni zaidi ya hapo, anagalau wange-set unit 100 hivi.
hata bei ya unit moja ni kubwa mno kuifanya kuwa moja ya nchi zenye gharama za juu sana za umeme duniani, achilia mbali kuongoza afrika mashariki.
Tusitegemee gesi kutusaidia lolote, kwani hata mafuta petrol/dizeli na ya taa hadi yanafika hapa gharama halisi mara nyingi haizidi 1200 kwa lita moja, iweje tuuziwe 2000 kwa lita, majanga.
 
ni kero kubwa sana hii; hata hiyo setting ya 50 unit inazingatia nini? kiuhalisia matumizi ya kawaida tu ya watu wengi ni zaidi ya hapo, anagalau wange-set unit 100 hivi.
hata bei ya unit moja ni kubwa mno kuifanya kuwa moja ya nchi zenye gharama za juu sana za umeme duniani, achilia mbali kuongoza afrika mashariki.
Tusitegemee gesi kutusaidia lolote, kwani hata mafuta petrol/dizeli na ya taa hadi yanafika hapa gharama halisi mara nyingi haizidi 1200 kwa lita moja, iweje tuuziwe 2000 kwa lita, majanga.
Ndugu kipimo lengo la Tanesco sio kumkomoa mwananchi hiyo bei uliyowekewa hapo imezingatia running costs na hata hivyo ujuwe Tanesco bado wanapata hasara kwani bei wanayouzia umeme ni ndogo kuliko gharama za kuzalisha umeme ndio maana bado wanaendesha shirika kwa kutegemea ruzuku kutoka serikalini.
 
Last edited by a moderator:
these are very...very disappointing statements per se.

has it been not one of their silly decision making since from the word go when passing the bill "simCard tax" , we would have not actually gone in to this type of wrangling.

are they now going back for the same discussion with different allowances?!!

can't it be a wastage of money too?!!!

while we have a number of issues tormenting our nation at this point in time which need a dilatory decision making but left pending?!!!

these are the only things that we "tanzanians" cannot condone.

there must be an injection of penalties for all mps plus the cabinet that ought to be working for free when comes a matter of revising the bill passed in the earliest sessions just because of their silly decision making where need be.

we got to change from the mentality of this prodigious squandering that have been exerted by our representatives for a greedy of gain so far.

say no partisanship to our mps when passing the bills.........
 
Ndugu kipimo lengo la Tanesco sio kumkomoa mwananchi hiyo bei uliyowekewa hapo imezingatia running costs na hata hivyo ujuwe Tanesco bado wanapata hasara kwani bei wanayouzia umeme ni ndogo kuliko gharama za kuzalisha umeme ndio maana bado wanaendesha shirika kwa kutegemea ruzuku kutoka serikalini.

wengi tunategemea lengo liwe si kukomoa, haya yakijili na bado unasema inajiendesha kwa hasara ndo utata unaanzia hapo. bei elekezi za ewura lazima zianaacha kiasi cha faida, inakuwaje tena mwisho wa siku inakuwa inapatikana hasara? nani hupewa umeme bila kulipia? yapata Tsh 4000 kwa mwezi ya service chaji kwa huduma gani wanazozifanya ktk mita zetu? na hizo tofauti ya hizi mita unazisemeaje? ndo maana tunaiona kama kukomoana kwani kutumia 100,000 kwa umeme wa mwanga tu si haki kabisa
 
kaka tupo kwenye ubepari,, hakuna bure kwenye ubepari,, masikini hana nafasi kwenye ubepari kaka.... hizi siasa hazituambii ukweli,,, inatakiwa tupambane na maisha kwa namna yoyote ili tuweze kuishi otherwise tutaendelea kulalamika tu!!!! wenzetu wanatajilika humuhumu na mifumo hii hii !!!!!!!
 
Ndugu kipimo lengo la Tanesco sio kumkomoa mwananchi hiyo bei uliyowekewa hapo imezingatia running costs na hata hivyo ujuwe Tanesco bado wanapata hasara kwani bei wanayouzia umeme ni ndogo kuliko gharama za kuzalisha umeme ndio maana bado wanaendesha shirika kwa kutegemea ruzuku kutoka serikalini.
Naamini utakuwa mmoja wa wanaonufaika na ufisadi wa TANESCO. Running cost Tanzania tu? Kwa nini? Hizi siasa za kizamani mfike pahala muanze kuzionea aibu!
 
Last edited by a moderator:
Siasa imeingia kwenye uchumi hii ni hatari sana. Itafika wakati kila kodi itagomewa na wananchi.
 
Back
Top Bottom