Tanzania imefika sehemu ambao lazima tuiadabishe serikali hii.Tukikaa kimya janjaweed watakuja kwako au ndugu yako.Tushirikiane wote kukemea na kuwatenga hao janjaweed na serikali ya ccm.Matukio yaliyopita ni mengi na kwa hakika inaonyesha serikli kuwa na mkono wake.Sasa tusikae kimya hawa magamba wamekuja na njia nyingine ya kuwaogofya watu.Sasa tusimame wote hata ukikutana nae barabarani awajue hatukubali ushenzi uuaji ,