Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Jangwani: Lissu amenisikitisha!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,410
Reaction score
14,119
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.
 
sasa hapo kuna tusi? wewe uliona wapi lissu akiwaita ccm? yeye utumia maccm hata mie nawaita maccm hakuna kosa hapok
 
Huyu ndo Maso Pakyindi, siku zote namjua kama " Macho kwenye Ugali"....so long as watu wanamtibulia ugali wake, lazima atoke povu tu!!!!
 
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.

Wewe ndi mmoja wa hiyo miCCM au maCCM. Wakawa wengi unaweza kuwaita maCCM. Kwa taarifa yako mmoja ya wanasiasa anaejua anachokisema ni TUNDU LISSU. Msomi mzuri wa LLM pale Warwick. MANYANI bwana mtu anakupigania haki yako upate KATIBA nzuri unalalamika. Hiyo miCCM inatazidi kukuweka katika umasikini na hali duni. Msomi mzuri na mpenda maendeleo ya Tanzania basi atakuwa ni mtu mwenye kutaka changes. What CCM have done to you in past 50 yrs?. TZ ni moja ya nchi maskini sana dunia kwenye list tupo mwisho mwisho. Chama kingine (eg CHADEMA) hakiwezi kurudisha nyuma zaidi ya tulipo sasa. However hiyo miCCM will take us further down.
 
Tundu Lissu hana nidhamu kabisa.
 
Maccm yakikosa hoja bwana? yana matatizo haya, Poa Liccm tumekusikia....!
 
kipi cha kusikitisha hapo? Au kitambo ulkuwa hujaskitika??
 
Back
Top Bottom