Tatzo siku hizi mnakunywa sana mipombe na manyama yasiyo na virutubisho vya msingi.muda si mrefu tutaanza kuwaweka vimada maana shughuli ishawashinda.we mwanamke kamwe usipiganie hizo mashine za wanaume,tafuta mashine moja ya kukoboa,moja ya kusaga na ungo mdogo wa kupepetea.siku hizi hawana nguvu hao ukiwaovadozikidogo tu, mashine zao zinabuma,na wakienda gereji miezi ni mitatu.kama mie nina Firstman,Mr presidaa na King.mmoja anakoboa,mwngne anasaga na mwingne anapepeta.mmoja akienda gereji mwenzie anatumika zaid.wanaleta usharobalo hadi kitandani .hawana issue,tuwapange mafungu tu