Janga la kitaifa: wakati akina kaka wanalalamikia nguvu akina dada 'mheuko' unazidi!

Wakuu,

Kuna vitu vinachangia kupungua kwa nguvu za kiume. Fatilieni mtagundua maana nilikuwa nawashauri rafiki zangu naona imewasaidia sipati usumbufu wa ushauri wa jinsi kuongeza nguvu za kiume (maana ni jambo la aibu na wanaume wengi wanaogopa kulisema kwa wenzao unless kama anakuamini sana).

1. Vyakula vya mafuta vinachangia sana kwa kuleta matatizo ya Blood pressure. Manyama Choma, kuku, Chipsi, Kiti moto vinachangia kuleta matatizo ya BP ambayo huleta athari katika kupata erection na kustahamili vishindo.

2. Kukosekana mazoezi. Tanzania siku hizi vitambi imekuwa ni sifa ni vema ukawa unafanya mazoezi japo 1 Hour kuweka mwili kuwa na stamina venginevyo hamna kitu hapo.

3. Vyakula vya sukari, ni vema kuviepuka maana vina athari kubwa mwilini including uhanithi (kushindwa kuhimili vishindo).

4. Stress na pirika za maisha nazo pia huchangia kisaikolojia ni vema mkawa mnajitahidi kuviepuka.

5. Kunywa maji ya vuguvugu kila mara hata ofisini. Hili unaweza kuliona la ajabu but linasaidia sana kukamua mafuta na kuongeza ufanisi.

Ni hayo tu yajaribuni yanaweza kuwasaidia.
 
Nadhani kati ya post watu wamechangia kutoka moyoni ni hii.
 
Ni kweli mkali,somo zuri,lakin wakigundua tumerevive nguvu zetu si ndo tutabakwa live?Curently they rape us psychologically kwa vimin vyenye mpasuo mpaka karib nanihii,vikaptula lain halaf wanavitinga kata Kun... style,vingine vinabana na unagundua sista du kavaa manati kiunon,acha mbali poz za kifuan na hivyo vitop,I cant finish,e bana ni hatar ya denja,kama yote ni coz of mhemko,We gonna die.
 
Wakuu,

Kuna vitu vinachangia kupungua kwa nguvu za kiume. Fatilieni mtagundua maana nilikuwa nawashauri rafiki zangu naona imewasaidia sipati usumbufu wa ushauri wa jinsi kuongeza nguvu za kiume (maana ni jambo la aibu na wanaume wengi wanaogopa kulisema kwa wenzao unless kama anakuamini sana).

1. Vyakula vya mafuta vinachangia sana kwa kuleta matatizo ya Blood pressure. Manyama Choma, kuku, Chipsi, Kiti moto vinachangia kuleta matatizo ya BP ambayo huleta athari katika kupata erection na kustahamili vishindo.

2. Kukosekana mazoezi. Tanzania siku hizi vitambi imekuwa ni sifa ni vema ukawa unafanya mazoezi japo 1 Hour kuweka mwili kuwa na stamina venginevyo hamna kitu hapo.

3. Vyakula vya sukari, ni vema kuviepuka maana vina athari kubwa mwilini including uhanithi (kushindwa kuhimili vishindo).

4. Stress na pirika za maisha nazo pia huchangia kisaikolojia ni vema mkawa mnajitahidi kuviepuka.

5. Kunywa maji ya vuguvugu kila mara hata ofisini. Hili unaweza kuliona la ajabu but linasaidia sana kukamua mafuta na kuongeza ufanisi.

Ni hayo tu yajaribuni yanaweza kuwasaidia.

Kweli tumekwisha
 
Tatzo siku hizi mnakunywa sana mipombe na manyama yasiyo na virutubisho vya msingi.muda si mrefu tutaanza kuwaweka vimada maana shughuli ishawashinda.we mwanamke kamwe usipiganie hizo mashine za wanaume,tafuta mashine moja ya kukoboa,moja ya kusaga na ungo mdogo wa kupepetea.siku hizi hawana nguvu hao ukiwaovadozikidogo tu, mashine zao zinabuma,na wakienda gereji miezi ni mitatu.kama mie nina Firstman,Mr presidaa na King.mmoja anakoboa,mwngne anasaga na mwingne anapepeta.mmoja akienda gereji mwenzie anatumika zaid.wanaleta usharobalo hadi kitandani .hawana issue,tuwapange mafungu tu

Du, haya!
 
wale wa chips yai uku nusu nikaushie kidogo ....hawataki ugali dona wanakaushwa wao sasa......
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom