The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Utetezi wangu uko pale pale.
Sasa Rais kwenda kuomba msaada NBA siyo udhaifu huo............. ama unataka kutumia lugha tofauti!!!
Utetezi wangu uko pale pale.
Utetezi wangu uko pale pale.
Hivi Mr. Zero. unaweza ukanionyesha ni wapo nimesema rais sio Dhaifu?
MY PRESIDENT IS HANDSOME..! o!
almasi moja size ya pipi ni milioni 800. Size ya karanga ile ya kutafuna ni sh mil 280
Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.
Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?
Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?
Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
Utetezi wangu uko pale pale.
Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.
Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?
Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?
Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
mkuu unatwanga kote kote sio jana ilikuwa ni kuitwanga chadema leo ni jk dhaifu msimamo wako uko wapi? au ni mzee usiofungamana na upande wowote? kura yako itaangukia wapi au jamii inayokuzunguka utawapa elimu gani wawe upande gani na wawe na maamuzi gani?
Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.
Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?
Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?
Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
SILENT WHISPER, hizo sio discussion la jukwaa lenu lile? Huku ni siasa mkuu,lol!
Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.
Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?
Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?
Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,