Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Huku nikiwa nahangaika kupinga hoja ya kumtambua mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama mtu dhaifu siku hiyo hiyo ya jana, nikiwa naangalia Taarifa ya Habari TBC1 ikatangazwa kwamba Mheshimiwa Rais amewaahidi viongozi wa chama cha Basket Ball nchini kwamba akienda marekani atawaombea kwa uongozi wa chama cha mpira wa kikapu Marekani ili kiweze kuwapa msaada.
Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?
Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?
Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,
Shit! nikajiuliza inamaana huyu mzee kumbe ni kweli akienda huko nje anaenda kukutana na very low profiled institutions kulinganisha na nafasi yake, kama ni hivyo barozi wetu huko marekani anafanya kazi gani, waziri wa michezo anafanya kazi kama ni kweli wanasiasa au viongozi wa serikali wanahitajika kudevelop relations kati ya vyama hivi viwili vya michezo, au hata ao akina mziya na fares kazi zao ni nini?
Na nikajiuliza swali la ziada kwamba, inamaana mheshimiwa rais bado amebakiwa na uwezo wa kupanga safari ya kwenda marekani ghafla namna hiyo katikati ya kipindi kigumu kwa serikali yake kuitetea bajeti yake bungeni?
Katika hili mheshimiwa rais amenisononesha sana,