Mkuu miongoni mwa watu wenye akili na wewe umo, atakaesema umefanya makosa kuondoka na yeye ni akili zake.
Mwanaume unatakiwa kuwa mvumilivu lakini pia kuna uvumilivu wa kijinga.
Kwa maelezo yako hukuondoka nyumbani kwa kukwepa majukumu la ila kwa kuinusulu ndoa na familia yako pia kupuka manyanyaso ya akili na roho.
Kwa nionavyo mimi ulifanya jambo la busara kwani usingeondoka ambalo lilikuwa linajili ni kutengana na kugawana mali yenu hali ambayo ingewaweka watoto katika mazingira magumu sana.
Ushauri wangu ni kwamba endelea kuwasiliana na mkeo wasalimie watoto kila siku hata ikibidi wadanganye unafanya kazi na ukipata chochote wakumbuke uwatumie zawadi na mahitajio mengine.
Ila wakati huo ukiwa unatafuta kazi popote pale, mungu hamtupi mja wake utapata iwe arusha au hata huko Dar, baada ya kupata kazi rudi nyumbani.
komaa upate kazi la si hivyo mambo yatazidi kuwa mabaya yaani mie ni ke lakini huwa hata zege naweza kubeba naogopa sana ujobless kwakiwa sijaumbwa kutegemea mtu yeyote naogopa kuomba kwa mwanaume........naogopa manyanyaso uwii
sawa mungu akutangulie na usichague kazi mpaka ukipata unayotaka ... jishkize itayopatikana ilmradi iwe halali mkuuok safi sana hata mimi sio mtu wa kuchagua kazi ...sema sasa hapa dar bado mgeni mgeni kuzpata hata hzo za nguvu ni mtihani
Hahhaaa poapoa man!
Pale mwanamke unapojua kazi yake kwa mda mrefu, halafu siku anakwambia hivi wewe una akili? We unakula tu unajua hizi lesa nazipata wapi na nazipataje??
Inauma sana lkn no way!
inauma sana na huwa wanawake tuna mioyo migumu hakumbuki hata yeye anaweza patwa na majangaebu ona sasa ndio huna kazi then wife anakuambia hvyo unatamani hata kufa
sawa mungu akutangulie na usichague kazi mpaka ukipata unayotaka ... jishkize itayopatikana ilmradi iwe halali mkuu
Mnajivunia k zenu, hasa wahitaji wakiwa wengi ndo hamkamatiki ya kula hamkosi. Yet leo mnaadhimisha women's dayinauma sana na huwa wanawake tuna mioyo migumu hakumbuki hata yeye anaweza patwa na majanga
inauma sana na huwa wanawake tuna mioyo migumu hakumbuki hata yeye anaweza patwa na majanga
Mnajivunia k zenu, hasa wahitaji wakiwa wengi ndo hamkamatiki ya kula hamkosi. Yet leo mnaadhimisha women's day
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app[/QUOTkwani nyie pia si mnavifanyiio
maranyingi wanawake wengi wakiwa na kitu kidogo kuliko mwanaume wanakuwa wakorofi wenye majivuno wajeuri sana na roho mbaya juu sasa alikuwa na sababu gani kulala kwa bwana na kuja kumwambia mumewe maneno makali hivyo nyambaf mleta uzi niibox number yake nimwambie umenioa uone kama hata hajapanda ngorika akaja kukufwata jeuri tu hana lolote
Uncle naona bora ubaki kwanza Dar utafute kazi. Ukirudi tu Arusha mke anakuachia nyumba
Anzisha biashara ya kusafisha viatu, kushon viatu na kupiga kiwi.ok safi sana hata mimi sio mtu wa kuchagua kazi ...sema sasa hapa dar bado mgeni mgeni kuzpata hata hzo za nguvu ni mtihani
Kupata Kazi Dar Ni ngumu Sana, jaribu mkoani Tu, mbona hata arusha ungepata Tu, Dar mtihani Sana mkuumzee naishukuru forum kwa ushauri uliotukuka sio mara ya kwanza kuomba hapa ushauri na nafarjka kabisa...kuhusu nakaa wapi nmeshaelezea hapo nyuma nimepangishwa chumba na bro ambae yeye anakaa huku mda sasa...sijapata kaz bado maana tangu nije huku sasa n siku 40 zimepita......