Ok Dar unaishi VIP wakati hauna kazi . Wewe ni Kabila gani samahan kwa kukuuliza ila ningependa kujua Kabila lako
Huyo kaka yako ingekuwa bora angekupa mtaji ila usijali mungu ni mwema utafanikiwa kanda ya ziwa musoma au . Endapo nikisikia kaz mahali nitakujulishadar yupo bro so alinichukulia chumba single akanilipia miezi 4 maswala ya msosi namaliza kwake huku nikisoma ramani...kuhusu kabila mimi ni mwenyeji wa kanda ya ziwa
Huyo kaka yako ingekuwa bora angekupa mtaji ila usijali mungu ni mwema utafanikiwa kanda ya ziwa musoma au . Endapo nikisikia kaz mahali nitakujulisha
Nilijua utakuwa wa musoma manake baadhi ya wanaume wa musoma wanatabia ya kuhama nyumba zao . Wakipata tatizo wenyewe wanakimbia badala ya kutatua tatizo . Nitakustua mkuubro hawezi nipa mtaji maana na yeye anaunga unga bado ....musoma ndio kabila la baba wa taifa ukisikia nishtue ndugu yangu tabu haina aibu
Nilijua utakuwa wa musoma manake baadhi ya wanaume wa musoma wanatabia ya kuhama nyumba zao . Wakipata tatizo wenyewe wanakimbia badala ya kutatua tatizo . Nitakustua mkuu
Mkuuu ushauri mzuni ni wewe kutafta maisha.ukirudi ataendelea kukudharau zaidi.kumbuka hapo hujaitekeleza ila unatafta maisha kwa ajili ya familia yakoHi Brothesr and sistesr,
Kwanza kabisa napenda kuwashukuru sana members wote humu maana mmenisaidia mengi sana kama miaka 2 iliyopita niliomba ushauri humu mkanisaidia ndoa yangu ilikua inakwenda kwa maji.so nimerudi tena
>>mimi ni mwanaume na nina mke na watoto3 kwangu ni Arusha nimeshajenga nakaa kwangu, mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini na mimi ninafanya kazi sector binafsi nimeanza kuishi na mke wangu toka 2004 >2016=12 tuliishi kwa furaha amani na upendo. mwaka 2014 nilisimamishwa kazi kwamatatizo flani flani ya kikazi so mwaka 2014
>>2015 woote nilikua nyumbani namaanisha sikubahatisha kazi kabisa nilizunguka kila kona ya arusha lakini wapi hadi nikahisi nimetupiwa mkosi,2015
>mke wangu akaanza kubadilika akawa mtu wa hasira kitu kidogo tu ataongea usiku kucha bas kuna vitu flani flani haki za mme nikawa sipewi tena kisingizio eti kachoka mfano kama kufua nguo zangu chakula cha usiku na mengine kama hayo ,tunaweza kaa siku tatu hatuongei kanuna lakini the same time akipigiwa cm na marafiki zake anaongea kwa vicheko akikata tu cm anavaa sura ya kazi.au nikiwa sipo anakua na furaha kweli lakini nikiingia tu nyumbani ananuna anakwenda na kulala kabisa ,so hali hiyo imenifanya mimi niwe na mawazo mno imepelekea hata kudhoofu mwili nimekonda mno ,mwanzoni mwa mwaka huu 2016 alinifanyia kituko ndicho kilichonipelekea mimi kuja kuomba ushauri humu tar 20/1/2016 alichelewa kuja home isivyokawaida yake na kila nilipompigia cm yangu alikua hapokei ..nilifunga milango tukaingia kulala na watoto yeye alikuja saa 11 usiku so sikumfungulia mlango kwa hasira alilala nnje alfajiri kumfungulia akaingia kwa matusi naomba ninukuu
>>>hivi unathubutu kunifungia nnje mimi ninavyokubeba hapa mjini niende kutafuta nije wewe ule ..unajua hata ni wapi natoa hizo pesa unazo kula?unafikiri hata leo nisipoleta hata kumi utakaa mjini wewe? ngoja sasa kesho naondoka nakuachia hili linyumba na watoto wako mtajua mtakulanini,,,so kwakweli niliumia mno na kwahasira nilimpiga sana kwasiku hiyo alishindwa hata kwenda kazini...ilipofika usiku akenda kulala kwa chumba cha watoto lakini alisahau cm yake chumbani kwangu bass nikaanza kupitia msg nikaona alikua anachat na dada yake mkubwa ..dada yake anampa maelekezo kua amchukue mtoto mmoja ahame hapo kwangu kuna chumba sehem amempatia ,,so nikapata akili haraka haraka kua huyu wife akinitelekezea hawa watoto na mimi sina kazi itakua matatizo zaidi so nikapata wazo bora mimi niondoke hapo nyumbani niende popote pale kuokoa hili jaazi, so alfajiri sana nilidamka nikakamata basi nikaja dar sasa nina mwezi wa 2 huku dar ,,,wiki iliyopita ameanza kunipigia cm ananiomba nirudi nyumbani maana hawezi kukaa mwenyewe na watoto anaogopa pia anadai kua watoto wanamsumbua kumuuliza baba yuko wapi???
NAOMBENI USHAURI NIFANYEJE?? NIRUDI ARUSHA AU NIKOMAE KWANZA DAR NITAFUTE MAISHA?
I lov this commentAisee pole umenifunza mengi... Kwamba ktk maisha wakati wewe unacheka kuna wengine wanalia...
Kwakweli sijawahi kabiliana na kadhia yoyote kiasi cha kunifanya nione dunia tambarare.... Thanks again umenirudisha kwenye fikra MPYA....
Pole sana kwa uliyopitia but usikate tamaa...
Ushauri wangu komaa kwanza upate hiyo kazi sio mbaya pia ukituambia elimu na fani yako tunaweza kukusaidia coz wengine tuna muda mrefu hapa mjini so vichochoro tunavijua vingi....
Kila la kheri na Mungu akupe Faraja......
Majibu rahisi.kwenye maswali magumu.
Unadhani hajui sitution aliyonayo mme wake?
Wameishi miaka 12 kwa furaha hilo hulioni??
Man usirudi kwani tatizo liko pale pale kama huna mshiko huyo wife ataendelea kukupanda kichwani tu, so long watoto wako mikononi mwa mama na anauwezo wa kuwatunza tafuta kwanza.
Kumbe Una mastress yakoee ndo mana Kule PM ulikuwa unaongea utumbo mwanzo mwisho, subir nimtafute huyo bidada nkampeleke kwa dokta akapate sindano yetu ileethanks men nimeipenda hii maana ndio haswa lilikua wazo langu
Kumbe Una mastress yakoee ndo mana Kule PM ulikuwa unaongea utumbo mwanzo mwisho, subir nimtafute huyo bidada nkampeleke kwa dokta akapate sindano yetu ilee
hii story badoo sijaridhika sasa hapa town unafanya nn mkuu upo kwa nani?
umepata kazi kama umepata kwanni bado unaikimbia familia mke alikosea na wewe umekosea watoto wataumia
na unaishukuru nini forum hii?
Hi Brothesr and sistesr,
Kwanza kabisa napenda kuwashukuru sana members wote humu maana mmenisaidia mengi sana kama miaka 2 iliyopita niliomba ushauri humu mkanisaidia ndoa yangu ilikua inakwenda kwa maji so nimerudi tena.
>>Mimi ni mwanaume na nina mke na watoto3 kwangu ni Arusha nimeshajenga nakaa kwangu, mke wangu ni mfanyakazi wa serikalini na mimi ninafanya kazi sector binafsi nimeanza kuishi na mke wangu toka 2004 >2016=12 tuliishi kwa furaha amani na upendo. Mwaka 2014 nilisimamishwa kazi kwamatatizo flani flani ya kikazi so mwaka 2014
>>2015 wote nilikua nyumbani namaanisha sikubahatisha kazi kabisa nilizunguka kila kona ya Arusha lakini wapi hadi nikahisi nimetupiwa mkosi,2015.
>Mke wangu akaanza kubadilika akawa mtu wa hasira kitu kidogo tu ataongea usiku kucha basi kuna vitu flani flani haki za mme nikawa sipewi tena kisingizio eti kachoka mfano kama kufua nguo zangu chakula cha usiku na mengine kama hayo,tunaweza kaa siku tatu hatuongei kanuna lakini the same time akipigiwa simu na marafiki zake anaongea kwa vicheko akikata tu simu anavaa sura ya kazi au nikiwa sipo anakuwa na furaha kweli lakini nikiingia tu nyumbani ananuna anakwenda na kulala kabisa.
So hali hiyo imenifanya mimi niwe na mawazo mno imepelekea hata kudhoofu mwili nimekonda mno mwanzoni mwa mwaka huu 2016 alinifanyia kituko ndicho kilichonipelekea mimi kuja kuomba ushauri humu tar 20/1/2016 alichelewa kuja home isivyokawaida yake na kila nilipompigia simu yangu alikua hapokei, nilifunga milango tukaingia kulala na watoto yeye alikuja saa 11 usiku so sikumfungulia mlango kwa hasira alilala nnje alfajiri kumfungulia akaingia kwa matusi naomba ninukuu.
>>>Hivi unathubutu kunifungia nje mimi ninavyokubeba hapa mjini niende kutafuta nije wewe ule unajua hata ni wapi natoa hizo pesa unazo kula?Unafikiri hata leo nisipoleta hata kumi utakaa mjini wewe? Ngoja sasa kesho naondoka nakuachia hili linyumba na watoto wako mtajua mtakulanini,so kwakweli niliumia mno na kwahasira nilimpiga sana kwa siku hiyo alishindwa hata kwenda kazini ilipofika usiku akenda kulala kwa chumba cha watoto lakini alisahau simu yake chumbani kwangu basi nikaanza kupitia msg nikaona alikua anachat na dada yake mkubwa, dada yake anampa maelekezo kua amchukue mtoto mmoja ahame hapo kwangu kuna chumba sehemu amempatia.
So nikapata akili haraka haraka kua huyu wife akinitelekezea hawa watoto na mimi sina kazi itakua matatizo zaidi so nikapata wazo bora mimi niondoke hapo nyumbani niende popote pale kuokoa hili jaazi, so alfajiri sana nilidamka nikakamata basi nikaja Dar sasa nina mwezi wa 2 huku Dar wiki iliyopita ameanza kunipigia simu ananiomba nirudi nyumbani maana hawezi kukaa mwenyewe na watoto anaogopa pia anadai kua watoto wanamsumbua kumuuliza baba yuko wapi?
NAOMBENI USHAURI NIFANYEJE? NIRUDI ARUSHA AU NIKOMAE KWANZA DAR NITAFUTE MAISHA?
komaa upate kazi la si hivyo mambo yatazidi kuwa mabaya yaani mie ni ke lakini huwa hata zege naweza kubeba naogopa sana ujobless kwakiwa sijaumbwa kutegemea mtu yeyote naogopa kuomba kwa mwanaume........naogopa manyanyaso uwiimzee naishukuru forum kwa ushauri uliotukuka sio mara ya kwanza kuomba hapa ushauri na nafarjka kabisa...kuhusu nakaa wapi nmeshaelezea hapo nyuma nimepangishwa chumba na bro ambae yeye anakaa huku mda sasa...sijapata kaz bado maana tangu nije huku sasa n siku 40 zimepita......