Mkolakumwezi
Member
- Aug 25, 2011
- 34
- 2
Ni mkongwe humu Jf ila nmeamua nishiriki kwa dhati sasa,aaaaah bandugu nikaribisheni basiiir
Halafu haya mambo ya kusema mi mkongwe inabidi iangaliwe kwa jicho la tatu.
Penye moshi, hapakosekani moto!
JF ni raha na machungu pia. Anyway unakaribishwa tenal
Asante sana ndugu yangu,so
Tupo pamoja sana kiongozi na maoni yako yamezingatiwaUkimuona nyani mzee ujue kakwepa mishale mingi.................................Karibu sana mkuu ila usisahahu kushiriki kikamilifu.
ngoja nipite zangu tu hapa nmepotea khaaaaa
Multiple id's mkuu!
Halafu haya mambo ya kusema mi mkongwe inabidi iangaliwe kwa jicho la tatu.