Jamiiforums raha tupu yani,

Penye moshi, hapakosekani moto!
JF ni raha na machungu pia. Anyway unakaribishwa tena mkuu.
 
Ukimuona nyani mzee ujue kakwepa mishale mingi.................................Karibu sana mkuu ila usisahahu kushiriki kikamilifu.
 
Halafu haya mambo ya kusema mi mkongwe inabidi iangaliwe kwa jicho la tatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom