Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
- Thread starter
- #81
Mhe. The Bossdamn.
Ndio baadhi ya Mijiafrika ilivyo yenyewe inajifikiria kuwa very special kuliko watu wengine. Nina jambo kuhusu yeye "Bluray" ila kwakuwa naheshimu maadili ya jamii ya Watanzania wenye hekima na busara zao walio member na wasiokuwa member wa JF nimemsitiri sana kwa leo. Kwa maneno mafupi tu huyu "Bluray" yuko kwenye kundi la WAKAGASIKO na WASAGAKIKO na sio makosa yake ila ni makosa ya.................................!!!