JAMIIFORUMS IMEMEZWA!

JAMIIFORUMS IMEMEZWA!

kama mimi nisivyopenda post kama hii ya mtoa mada
 
Ebu ngoja niendelee kusoma comments, labda nitaelewa
 
na kwa sasa JF andika uzi wakumponda Bashite unatolewa fasta! yaani kifupi JF imemezwa zaidi ya kununuliwa
Wala sio kwa bahati mbaya kwa Jf kulundikwa manyuzi ya mtu mmoja kila siku!
Kila topic utakutana na madudu yake na hamna kitu kipya lakini hao ndio wameipora Jf!
Kuna siku tutajua mbivu nbichi.
 
madudu kama huu wako..sijui umeandika nini kama sio kutujazia server.
 
Avatar yako inanipa kucheka kila siku
1566897597837.png
1566897597837.png
1566897597837.png
1566897597837.png
1566897597837.png
1566897597837.png
1566897597837.png
1566897597837.png
 
Ungemjua unamsema hata usingemsema kwa sababu huelewi kuwa unaemsema hakutyakiwa kusemwa kimafumbo.
 
Back
Top Bottom