JamiiForums game of the year

Sana ajipange la sivyo tutamtupa Mabwepande awe chakula cha Pori.

pori la mwabepande inabidi tu lifyekwe, manake watu siku hz mjini mtu ukimgusa kidogo tu anakutishia "wee shauri yako nitakupeleka mwabepande" ,

haya Madame B na ruttashobolwa enjoy urself, mie naogopa pelekwa mwabepande kufanywa asusa
 
Last edited by a moderator:
ni kwambie ukweli mathematics huwezo kumpata huyo mtoto, unachofanya ni kama kuisubiri meli Airport, jipange sana.

sana nimeamua jiengua haya kila la kheri ruttashobolwa umeshinda,

kweli mnafanana nyinyi wawili wote ni wachoyo wa kugonga "likes" comments za wengine, mwapenda tu gongewa "likes" comments zenu

Madame B ;- likes received: 284 , likes given: 1
ruttashobolwa;- likes received: 489, likes given: 1

nampenda sana Mamndenyi sio mchoyo wa kugonga "likes" comments za wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom