JamiiForums android app imeboreshwa!

JamiiForums android app imeboreshwa!

App ya android JamiiForums wamerekebisha errors zilizokuwepo na IPO poa Sana sasa hivi
 
Je kuna update yake?
Kwa baadhi ya watu, automatically itaji-update (kulingana na settings za simu/tablets zao) na wengine watatakiwa ku-update manually. Yes, tumerekebisha yale yaloombwa kurekebishwa japo tayari mengine yashaanza kupendekezwa.

Asante
 
Invisible good job, sema Vipi kuweza kuchange user names?
 
Invisible good job, sema Vipi kuweza kuchange user names?
Thanks.

Username hadi utume PM kuomba ubadishiwe ukiwa umeambatanisha na jina jipya.

Tukiacha mbadili wenyewe, wengine utakuta leo anajiita "kinabo" kesho anajiita "Mze Mwanakijiji" (hapo katoe 'e' tu) na keshokutwa "Kiranga Original" na mwezi ujao "Ritz3".

Utaratibu wa sasa (kuwa lazima uwasiliane nasi), unaepusha mikanganyo.
 
Asanteni sana wakuu. I hope ile kitu ya application kustop kila mara haitakuwepo tena.
Barikiweni hadi mshangae
 
Kwa baadhi ya watu, automatically itaji-update (kulingana na settings za simu/tablets zao) na wengine watatakiwa ku-update manually. Yes, tumerekebisha yale yaloombwa kurekebishwa japo tayari mengine yashaanza kupendekezwa.

Asante

Mkuu vipi kuhusu BlackBerry 10? Bado hamjashusha kitu chake?
 
mkuu invisible tinaomba tuwekee link tuingie moja kwa moja, natumia Samsung galaxy mpaka nitumie opera mini ndio naingia jf kwa madaha. ni hayo tu.
 
Kwa sasa nimeipenda iko faster sana pongezi kwenu.

Ila tu bado Notification.....😕😕

nimeipenda aise.,ila wajitahdi iwe na uwezo wakumention
Nadhani unamaanisha alichosema idawa.

Mentioning haizuiliki ila notifications tumeshalifanyia kazi. Tutaweka kwenye market soon baada ya kujiridhisha kuwa inafaa kuwa final product kutumiwa na wateja.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani unamaanisha alichosema idawa.

Mentioning haizuiliki ila notifications tumeshalifanyia kazi. Tutaweka kwenye market soon baada ya kujiridhisha kuwa inafaa kuwa final product kutumiwa na wateja.

Hivi mkuu je App ya JF inaweza kuboreshwa kwa kuwa na plug in yenye kuleta Alerts za New Notifications...yaani kuwe na kitu kama pop ups hivi kama ilivyo kwa hivi Mobile IM's mathalani Whatsapp, Y!, Viber etc?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom