Naomba kufahamishwa kuhusu jamii ya Washiraz

Mkuu kwani Oman na Iran wanatokea watu gani?
Hizo ni nchi na wanatokea watu wa aina nyingi. Iran na Oman zina watu walioingiliana na Oman ishawahi kutawaliwa au kuwa chini ya Persian empire kwa muda mrefu. Pia Oman ina watu wenye asili ya kutoka Saud na Yemen na waafrica. Wote hao kwa ujumla ni milioni 2 tu. Kwa hiyo majority siyo majority kihivyo.
 
Lakini mkuu hata kama unasema ina mchanganyiko wa watu mbalimbali mbona hata hao wasaudia na yemen bado ni waarabu.
Haya wamanga ni neno la kiswahili je kwa kiingereza wanajulikanaje?
Hizo ni nchi na wanatokea watu wa aina nyingi. Iran na Oman zina watu walioingiliana na Oman ishawahi kutawaliwa au kuwa chini ya Persian empire kwa muda mrefu. Pia Oman ina watu wenye asili ya kutoka Saud na Yemen na waafrica. Wote hao kwa ujumla ni milioni 2 tu. Kwa hiyo majority siyo majority kihivyo.
 
Hata mimi ndio imani yangu hiyo ukishakuwa na pesa hakuna mwanamke anakusumbua hata awe ametoka Libya au baghdad atatulia tu.
Na ile concept kwamba eti ukiwa mweusi huwezi kuoa mtu mweupe ni ya kizamani sana.
Siku hizi hata uwe mweupe kama rim papers kama hauba hela utaonekana chokoraa tu na hakuna demu atakuheshimu.
Nimepitia uzi woteel hakuna aliemwambia ukweli mshkaji. Ila kama ana pesa ndefu ataoa bila tatizo.
 
Washirazi ni jamii ya watu kutoka IRAN/OMAN na YEMEN, ambao waliingia katika mwambao wa Afrika Mashariki na walikuwa wakijishughulisha na kazi za upagazi, uvuvi, ujenzi na useremala.
Washirazi ni tofauti na wamanga, kwani wamanga wao asili yao ni OMAN.
Washirazi wengi wanaopatikana maeneo ya visiwa vya Zanzibar asili yao ni YEMEN na Wamanga wanaopatikana katika visiwa hivyo pia asili yao ni OMAN.
Kiasili mimi ni Mshirazi na asili yangu ni Hadhra Maut ndani ya YEMEN. Ukoo wangu unaitwa SHARRIF BIN AHMED, ambao kwa sasa unapatikana maeneo ya KIZINGITINI - LAMU.
Washirazi ni jamii ya watu kutoka IRAN/OMAN na YEMEN, ambao waliingia katika mwambao wa Afrika Mashariki na walikuwa wakijishughulisha na kazi za upagazi, uvuvi, ujenzi na useremala.
Washirazi ni tofauti na wamanga, kwani wamanga wao asili yao ni OMAN.
Washirazi wengi wanaopatikana maeneo ya visiwa vya Zanzibar asili yao ni YEMEN na Wamanga wanaopatikana katika visiwa hivyo pia asili yao ni OMAN.
Kiasili mimi ni Mshirazi na asili yangu ni Hadhra Maut ndani ya YEMEN. Ukoo wangu unaitwa SHARRIF BIN AHMED, ambao kwa sasa unapatikana maeneo ya KIZINGITINI - LAMU.
Mkuu ukoo wote umehamia Lamu due,ukoo unahama!!!
 
Wa salaam wakuu.

Wakuu bila kupoteza muda ningelipenda kwenda moja kwa moja kwenye mada, Kuna jamii hii ya washiraz naskia inapatikana huko pwani ya nchi yetu hususani mkoani Tanga.

Basi wenye kujua kuhusu hii jamii ki undani zaidi naomba michango yenu, Kidogo nimepata kusikia hii jamii ina uhusiano au vinasaba na jamii ya watu wa Iran/Persians, je kuna ukweli kuhusu hili..? Au kuna mafungamano yoyote na jamii zetu hapa nchini, na kitabia, mfumo mzima wa maisha yao ukoje? Mwenye kujua haya tafadhari naomba michango yenu.

NB: Niko kwenye relationship na mtoto kutoka kwenye hii jamii ya kishiraz kutoka huko Tanga. In Shaa Allah kama Mwenyezi Mungu akijalia utukufu wake, ASAP nataka kupeleka posa kwao..

Natanguliza SHUKRANI
Kutoa JICHO ni jambo la kawaida sana kwao, kama umeridhia basi kila la kheri Mkuu.
 
ooh sawa.
Na waarabu ni watu wa wapi au nchi gani?
maana mim awalii nilikuwa nafikiri waarabu ni watu wa Oman,Saudia,Misri,Iraq na yemen.
Aurabu ni utamaduni wala si race(Kabila).Maeneo yote waliotawala 'warabu' wamekuwa nao warabu.Ndio maana kuna watu weusi kama Sudani wanaitwa warabu na weupe kama Uturuki nao warabu.Ni kama Waswahili vile ambao ni utanaduni tu wala si kabila mtu yeyote anaweza kuwa mswahili akiufuata utamaduni wa kiswahili.
 
Waache wapambane kivyao, my forefathers walikimbia huko na kuacha visima vya mafuta, walikimbilia Lamu!!
Mkuu bora mlikimbia maana warabu ni majahiri wauaji.Ukimsikiliza mzee wa kiburushi akihadithia(You tube historian ta waburushi Mbarali mbeya) madhira waliyofanyiwa na wafarsi huko Irani ni aibu.Waburushi walihama Irani kutokana na kubaguliwa na wafarsi na kuuwawa hovyo.Waliamua kutafuta nchi nyingine ya kuhamia na kufanikiwa kutua mbarali ambapo walipokelewa na chief wa pale na kupewa ardhi na kushirikiana na Wasangu, mpaka Leo hawajawahi kuleteana fujo.Najiuliza warabu wasingepata maeneo huku Afrika hivi kungekalika kule maana wengi wao walihamia Afrika (Moroko,Misri, Libya,Sudani nk)
 
Daah! Ndio maana nikaja kuuliza huku nijue wanaishije na hulka zao, nisije kataliwa kabla sijatimiza lengo..
Mkuu warabu hawana shida katika suala la kuoana na waafrika,hilo jambo limefanyika tangu warabu waingie Afrika.Ubaguzi mdogo mdogo upo kama kwa makabila ya wabantu tu.Mama yangu(Mmnyema) alikataa Dada angu kuolewa na Mkurya, Vilevile mama zangu hawakupendezwa Mimi kuoa makabila ya Pwani walipenda nikaoe Kigoma( Waha,wabembe,watutsi nk) na si kwingine.Hivyo suala ubaguzi mdogo mdogo lipo kwa kila jamii.Warabu hawapendi ukamtese mtoto wao, hawapendi shida kama sisi wabantu shida tunaziona kawaida, wanapenda mtoto wao aka enjoy maisha.Nimekaa na warabu wasukuma huko Shinyanga nawajua vizuri sana, no watu wazuri hawana hiana.
 
Back
Top Bottom