Jamii mbili za viumbe wenye akili ulimwenguni


Nimecheka sanaaa

Kitenzi kikurupushi.... Lol
 
Last edited by a moderator:
Sasa mtoa mada.. hii elimu ya unajimu inasemaje kuhusu hatma ya wanadamu na dunia
 
Mkuu Eiyer hebu pitia hapa uone ulicho quote ni nini?
Nilichokinukuu nakijua na ndio maana naendelea kukuona wa ajabu tu
jaribu kufatilia hoja ilipotokea mpaka kufikia hapo(kuhusu miungu)maana nilikuwa naongea na Crocodiletooth, naomba kwanza ufatilie post tulizoanza mpaka kufikia hapo... sio unakua kama kitenzi kikurupushi.
Nukuu yako ilikuwa umejitosheleza kwa kile ambacho nimekunukuu na kukujibu,hakuna haja ya kufuata mtiririko wa majibizano yako na huyo mwenzako,unachopaswa kujua ni kwamba ulichoandika kumhusu Mungu ni matokeo ya kutokujua unachoikiongelea na hilo ndilo tatizo lako kubwa
alafu jaribu kuyaweka maneno yako katika sentensi moja ambayo inaleta maana.
Kusema tu maelezo yangu hayaleti maana bila kuonesha ni kwa namna ipi hayaleti maana unageukla wewe kuwa ndio huleti maana...
 

Hata mwendawazimu anaona kula chakula kwenye vyombo visafi ni upumbavu,hivyo sishangai wewe kuona nilichokuambia ni kujiongezea upumbavu....
 
Mwanzilishi wa huu uzi ni mwandishi wa riwaya na msomaji nguli wa riwaya za Kigiriki.

Maelezo yote aliyoyatoa ni mchanganyiko wa biblia na hadithi za kale za Kigiriki zenye kuonyesha chanzo cha binadamu na uwepo wa miungu yao.
 
Mwanzilishi wa huu uzi ni mwandishi wa riwaya na msomaji nguli wa riwaya za Kigiriki.

Maelezo yote aliyoyatoa ni mchanganyiko wa biblia na hadithi za kale za Kigiriki zenye kuonyesha chanzo cha binadamu na uwepo wa miungu yao.

Alishawahi kuandika riwaya gani? Hebu twende pole pole....
 

Hahahaaaa....naona umeamua kuwatengeneza watu, hiz story ndio zimekuvuruga so unataka vuruga na wengine, kwa kitwist misingi iliyowekwa katika Biblia....kazi ya Giza hii
 
Mbona sivioni sasa kwenye hii thread au inaendelea?
Maswali pia mtoa mada anajibu kifupi kama yupo chooni.

Thread ndefu majb mafupi.
Uskasirike
 
Mbona sivioni sasa kwenye hii thread au inaendelea?
Maswali pia mtoa mada anajibu kifupi kama yupo chooni.

Thread ndefu majb mafupi.
Uskasirike

kwahyo wewe unataka majibu marefu kama thread ilivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…