Huyu haelewi kama tatizo hili ni la kimfumo, hivyo ni la jamii nzima, sio swala la mtu mmoja mmoja.
Mifumo ipi mkuu?
the question is why would you wanna survive like a headless chicken? yani unataka tusurvive bila brain!!! hili ni tatizo.Point is usiishi kwa kukariri, why dont you google how long a chicken can live without a head and find out?
the question is why would you wanna survive like a headless chicken? yani unataka tusurvive bila brain!!! hili ni tatizo.
cant you see NGONO ni INDIVIDUAL CHOICE???...na individualistic society kila INDIVIDUAL ana make his/her own choice.
ningekua sijui nnachotaka ningeungana na wewe kusapoti corruptness na kusema tuache kila kitu kama kilivyo.Hujui unachotaka, for how long you have been living like a headless chicken?Niambie ni kipi ambacho unaweza ukakibadilisha sasa hivi?paap after 2,3,4, 10 years to come other factors remain constant
ngono ni individual choice and when you suffer the consequences you blame the society.
unafanya ngono zembe bila kupenda kisa hutaki kumpoteza mwanaume.
unafanya kinyume na maumbile bila kupenda kisa hutaki kumpoteza mwanaume.
unafanya ngono mapema unachakaa mapema ilimradi tu uendane na wakati uwe wa kisasa zaidi.
lets talk about individual choices...
Rebeca, hilo swala angeongea mwanaume kidogo lingeleta maana maana sisi ndo tunawapresha sana kufanya vitu ambavyo hamvipendi ila mnafanya tu.
hapa umeongea ukweli kabisa na hata nyimbo nyingi za siku hizi wasanii wanaimba ngono tu.. ngono tu. yaani huwezi ukasikiliza mbele ya wazazi au hata kwenye sherehe huwezi kuzipiga.Vijana wanaendeshwa na sexual desire kuliko maisha ya muda mrefu katika ndoa.
kuna wimbo niliskia kwenye radio msanii anaimba "hata nyuma napo kwangu" akimaanisha anamla mwanamke wake tope. ni aibu.Tazama jambo hili lilivyobadilika kwa kasi, ni majuzi tu habari ya kufirana ilikuwa aibu kuitamka mbele ya jamii, lakini leo mwanamke kuingiliwa nyuma sio habari sana, na mwanamke akionekana hashiriki huo mchezo jamii inamshangaa.
sio ninyi mnaokuja na nyuzi humu zina heading "wanaume wa siku hizi mnakwama wapi?" kwanini unalaumu collectively na sio huyo individual person ulielala nae?Nani anablame society mkuu?
angalia mambo with an open mind...kufanya ngono zembe,kuingiliwa kinyume na maumbile..etc NI MWILI WAKE MTU ANACHAGUA HUNA MAMLAKA NAYO....JARIBU KUHESHIMU UHURU WA WATU WENGINE
Comment ziwe fupi fupi jmn
Mapovu ya leo sipatii picha
sio ninyi nnaokuja na nyuzi humu zina heading "wanaume wa siku hizi mnakwama wapi?" kwanini unalaumu collectively na sio huyo individual person ulielala nae?
inakuaje ni mamlaka yako wakati mimi ndio nimekulazimisha tufanye bila condom?
inakuaje ni mamlaka yako wakati mimi ndio nimekulazimisha nikupake KY nyuma?
Umeshindwa kuheshimu uhuru wako kwa kuogopa kunipoteza mimi.