Jamii forums wamebadili logo Yao

Jamii forums wamebadili logo Yao

Nimeteseka sana kuitqfuta jf kwenye simu yangu ,maana nili-update all apps badae nakuja naanza kuitafuta kwa kukariri logo ya zamani halafu logo mpya naiona lakini naipuuza like ni app imeji-install ๐Ÿ˜„
 
Moderator
unganisha Post

 
View attachment 3412253

Je unatumia mtandao wa Jamii forums Tanzania!! , app ya jamii forums leo wamefanikiwa kufanya maboresho kwa kuweza kubadilisha logo Yao ambayo ilidumu kwa muda mrefu sana.

View attachment 3412254

Mtandao wa jamii forums Tanzania ni jukwaa linalowakutanisha watu Mbalimbali na kuweza kupiga Soga, kupeana ushauri kujifunza mambo Mbalimbali kuhusu Nchi ya Tanzania na Dunia kwa ujumla kuanzia siasa, Elimu , afya, michezo , Teknolojia nk.

View attachment 3412255View attachment 3412256View attachment 3412257

Mtandao huu Kwa mara ya kwanza ilikua tarehe 13 Mei, 2012 mpaka Sasa umepakuliwa na jumla ya watu milioni moja.

Umefanya update ya Jamii forums Tanzania!!

#jamiiforums #apps #bongotech255
Logo ya zamani ni nzuri zaidi kuliko logo hii mpya! Mtazamo wangu
 
Sjafurahia kabisa nimemtafuta sana ktky cm yangu leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom