Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Habari wadau!..
Nina swali ningependa uliza najua moderators wanapitia hizi nyuzi pia.
Makampuni kama Google wamejitengea dau lao kubwa tu kwa mtu atakayeweza gundua any loopholes kwenye system yao, same kwa instagram, snapchat, facebook, twitter na social networks nyinginezo.
Je mfano nimegundua a loophole inayoweza fanya nikawa a first commentator hata kama Joseverest 😀 kawahi comment na me nilitakiwa onekana let say post yangu ya 24 lakini nikaweza ifanya post yangu kuwa ya 1 then alokua wa 1 comment akawa wa 2..
Je Jamii Forums wanaweza nilipa kwa kugundua bug hiyo?, na dau lao kama walishawahi tangaza ni kiasi gani?, na kama hawajawahi tangaza wana mpango wa kuweka dau?...
wick
Nina swali ningependa uliza najua moderators wanapitia hizi nyuzi pia.
Makampuni kama Google wamejitengea dau lao kubwa tu kwa mtu atakayeweza gundua any loopholes kwenye system yao, same kwa instagram, snapchat, facebook, twitter na social networks nyinginezo.
Je mfano nimegundua a loophole inayoweza fanya nikawa a first commentator hata kama Joseverest 😀 kawahi comment na me nilitakiwa onekana let say post yangu ya 24 lakini nikaweza ifanya post yangu kuwa ya 1 then alokua wa 1 comment akawa wa 2..
Je Jamii Forums wanaweza nilipa kwa kugundua bug hiyo?, na dau lao kama walishawahi tangaza ni kiasi gani?, na kama hawajawahi tangaza wana mpango wa kuweka dau?...
wick