Mwenzenu nimeona jina la Aurora likanikumbusha machungu yangu. Walinitapeli ofisini kwao kule Upanga milioni 20,ngazi zote za polisi nilifika(hadi ofisi ya IGP),sikupata msaada wowote,la maana niliona kwenye TV-TBC Aurora mwenyewe(sasa ni marehemu) akiwa na wakuu wa Polisi(siwezi kuwataja) wa kanda maalumu Dar wakifanya shughuli za michezo pamoja!Nikaendelea kushangaa! Nawafahamu watu wengine 2 waliotapeliwa kiasi kama hicho na Aurora na haki haijawahi kutendeka.Wako sahihi JAMHURI,nchi hii ina wenyewe wenye haki!
Mwenzenu nimeona jina lau Aurora likanikumbusha machungu yangu. Walinitapeli ofisini kwao kule Upanga milioni 20,ngazi zote za polisi nilifika(hadi ofisi ya IGP),sikupata msaada wowote,la maana niliona kwenye TV-TBC Aurora mwenyewe(sasa ni marehemu) akiwa na wakuu wa Polisi(siwezi kuwataja) wa kanda maalumu Dar wakifanya shughuli za michezo pamoja!Nikaendelea kushangaa! Nawafahamu watu wengine 2 waliotapeliwa kiasi kama hicho na Aurora na haki haijawahi kutendeka.Wako sahihi JAMHURI,nchi hii ina wenyewe wenye haki!
January Makamba aongezwe kwenye iyo list tafathali.
chadema ndiyo chama cha kitapeli kuanzia mwenyekiti mpaka bavicha .
Hilo ni jiwe linalozungumza,hata ukilitupa pembeni halisikii maumivu. Achana nalo tumelizoea.hivi nikuulize swali moja.....hivi wewe binadamu kabisa unaishi kama wengine?
rizimoko hayumo?
paradiso
Toa ushahidi ndugu au Futa kauli.
Maana nasikia huko znz kwenye UVCCM katoa simu za mkononi 138, nadhani ni smartphone zitakuwa na ni katika mpango uleule wa kutuongezea watu humu mtandaoni kuandika pumba.
chadema ndiyo chama cha kitapeli kuanzia mwenyekiti mpaka bavicha .