Jamhuri ya Ramogi.

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,213
3,593
Kinachoweza kuwasaidia Luo wa Kenya kupata utaifa wao (ambayo ndiyo dawa pekee) ni yafuatayo:-

1. Waluo waandae waraka maalum wapeleke UN kuomba eneo lao kupewa mamlaka kamili ndani ya Jamhuri ya Kenya na baada ya miaka kadhaa wapewe nchi yao kamili Jamhuri ya Ramogi.

Huu ndiyo utaratibu salama usiohusisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kujitenga ambayo humwaga damu za watu wasio na hatia.

Mifano ya nchi zilizodai uhuru toka nchi-mama zao, lakini zikaanza na mamlaka kamili na hatimaye kutangazwa jamhuri ni hizi:-

Asia.
1. Pakistan ilitoka ndani ya India.

2. Afghanistan ilitoka ndani ya Pakistan.

3. Taliban inatafuta kutoka ndani ya Afghanistan.

4. Taiwan (a.k.a Formosa) ni mamlaka kamili ndani ya Uchina.

5. Hong Kong ni jimbo lenye utawala maalum ndani ya Uchina. Julai 1, 1997 ilirudishwa Uchina baada ya kujinasib kama nchi huru na kuzua mgogoro mkubwa kimataifa.

6. Tibet (The Roof of the World) ina jalada UN la kuomba kujitenga na Uchina. Sasa hivi tayari ni mamlaka kamili ndani ya Uchina.

Afrika.
1. Senegal ilijitenga kutoka Shirikisho na The Gambia (Senegambia Confederation) Agosti 1989.

2. Eritrea ilijitenga kuwa taifa kamili toka Ethiopia.

3. Somalia waligawana nchi hadi kufika vinchi 11 ambavyo kuingia kwa mwingine unadaiwa visa (viza).

4. Sudan Kusini ilidai utaifa wake ikapewa.

5. Darfur iko kwenye mchakato wa kutafuta utaifa wake.

6. Biafra ilitafuta utaifa wake chini ya Gen. Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu haikufanikiwa lakini serikali ikaanzisha majimbo kamili chini ya shirikisho.

7. Tigray inatafuta kujitenga kwa njia ya vita.

Luo wa Kenya waanze sasa kutafuta Ramogi nation ndani ya Kenya.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Na sisi wazanzibar tunampango wa kuvunja muungani tuwe nchi inayojitegemea
Kuvunja muungano inabidi kwanza uvunje JWTZ ni rahisi hiyo? Baada ya uasi wa Jeshi 1964 Nyerere alisema aliliunda upya kwa namna ambayo hakuna atayeweza kulivunja asilani. Mojawapo ya viapo vya jeshi ni kulinda:-

1. Mipaka ya nchi.
2. Kulinda Katiba.
3. Kulinda Rais.
4. Kulinda Muungano.
nk nk

NB.
Unapotaka kuvunja muungano na kubadili Katiba (mpya) ikiwemo vetting ya kumpata rais mpya inabidi jeshi ulihusishe kwa 100% je, ni rahisi mtu asiye kwenye mfumo kuli-influence jeshi?????

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kuvunja muungano inabidi kwanza uvunje JWTZ ni rahisi hiyo? Baada ya uasi wa Jeshi 1964 Nyerere alisema aliliunda upya kwa namna ambayo hakuna atayeweza kulivunja asilani. Mojawapo ya viapo vya jeshi ni kulinda:-

1. Mipaka ya nchi.
2. Kulinda Katiba.
3. Kulinda Rais.
4. Kulinda Muungano.
nk nk

NB.
Unapotaka kuvunja muungano na kubadili Katiba (mpya) ikiwemo vetting ya kumpata rais mpya inabidi jeshi ulihusishe kwa 100% je, ni rahisi mtu asiye kwenye mfumo kuli-influence jeshi?????

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Kiapo namba 1 na pekee cha JWTZ ni kuilinda CCM kwa namna yoyote ile hivyo vyengine ulivyo andika havina maana yoyote ile.
 
Kinachoweza kuwasaidia Luo wa Kenya kupata utaifa wao (ambayo ndiyo dawa pekee) ni yafuatayo:-

1. Waluo waandae waraka maalum wapeleke UN kuomba eneo lao kupewa mamlaka kamili ndani ya Jamhuri ya Kenya na baada ya miaka kadhaa wapewe nchi yao kamili Jamhuri ya Ramogi.

Huu ndiyo utaratibu salama usiohusisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kujitenga ambayo humwaga damu za watu wasio na hatia.

Mifano ya nchi zilizodai uhuru toka nchi-mama zao, lakini zikaanza na mamlaka kamili na hatimaye kutangazwa jamhuri ni hizi:-

Asia.
1. Pakistan ilitoka ndani ya India.

2. Afghanistan ilitoka ndani ya Pakistan.

3. Taliban inatafuta kutoka ndani ya Afghanistan.

4. Taiwan (a.k.a Formosa) ni mamlaka kamili ndani ya Uchina.

5. Hong Kong ni jimbo lenye utawala maalum ndani ya Uchina. Julai 1, 1997 ilirudishwa Uchina baada ya kujinasib kama nchi huru na kuzua mgogoro mkubwa kimataifa.

6. Tibet (The Roof of the World) ina jalada UN la kuomba kujitenga na Uchina. Sasa hivi tayari ni mamlaka kamili ndani ya Uchina.

Afrika.
1. Senegal ilijitenga kutoka Shirikisho na The Gambia (Senegambia Confederation) Agosti 1989.

2. Eritrea ilijitenga kuwa taifa kamili toka Ethiopia.

3. Somalia waligawana nchi hadi kufika vinchi 11 ambavyo kuingia kwa mwingine unadaiwa visa (viza).

4. Sudan Kusini ilidai utaifa wake ikapewa.

5. Darfur iko kwenye mchakato wa kutafuta utaifa wake.

6. Biafra ilitafuta utaifa wake chini ya Gen. Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu haikufanikiwa lakini serikali ikaanzisha majimbo kamili chini ya shirikisho.

7. Tigray inatafuta kujitenga kwa njia ya vita.

Luo wa Kenya waanze sasa kutafuta Ramogi nation ndani ya Kenya.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app

Kwa hiyo huku ni Ramogi Republic na kule Mombasa Republic.

MuAfrika anahitaji ukombozi kweli. Wengine wanaungana. Sisi tunatafutiza sababu za kugawanyika.
 
Kinachoweza kuwasaidia Luo wa Kenya kupata utaifa wao (ambayo ndiyo dawa pekee) ni yafuatayo:-

1. Waluo waandae waraka maalum wapeleke UN kuomba eneo lao kupewa mamlaka kamili ndani ya Jamhuri ya Kenya na baada ya miaka kadhaa wapewe nchi yao kamili Jamhuri ya Ramogi.

Huu ndiyo utaratibu salama usiohusisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kujitenga ambayo humwaga damu za watu wasio na hatia.

Mifano ya nchi zilizodai uhuru toka nchi-mama zao, lakini zikaanza na mamlaka kamili na hatimaye kutangazwa jamhuri ni hizi:-

Asia.
1. Pakistan ilitoka ndani ya India.

2. Afghanistan ilitoka ndani ya Pakistan.

3. Taliban inatafuta kutoka ndani ya Afghanistan.

4. Taiwan (a.k.a Formosa) ni mamlaka kamili ndani ya Uchina.

5. Hong Kong ni jimbo lenye utawala maalum ndani ya Uchina. Julai 1, 1997 ilirudishwa Uchina baada ya kujinasib kama nchi huru na kuzua mgogoro mkubwa kimataifa.

6. Tibet (The Roof of the World) ina jalada UN la kuomba kujitenga na Uchina. Sasa hivi tayari ni mamlaka kamili ndani ya Uchina.

Afrika.
1. Senegal ilijitenga kutoka Shirikisho na The Gambia (Senegambia Confederation) Agosti 1989.

2. Eritrea ilijitenga kuwa taifa kamili toka Ethiopia.

3. Somalia waligawana nchi hadi kufika vinchi 11 ambavyo kuingia kwa mwingine unadaiwa visa (viza).

4. Sudan Kusini ilidai utaifa wake ikapewa.

5. Darfur iko kwenye mchakato wa kutafuta utaifa wake.

6. Biafra ilitafuta utaifa wake chini ya Gen. Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu haikufanikiwa lakini serikali ikaanzisha majimbo kamili chini ya shirikisho.

7. Tigray inatafuta kujitenga kwa njia ya vita.

Luo wa Kenya waanze sasa kutafuta Ramogi nation ndani ya Kenya.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Wakati tunabishana kwenye ile thread ya Kiinglish;

"Rise of Raila and Fall of Ruto​

• Thread starter [SIZE=4]Filosofia ya Rorya[/SIZE]

. • Start date"Saturday at 3:51 PM

sikujua kuwa nabishana na mwehu! Nisamehe sana ndugu yangu!!!
 
Kwa hiyo huku ni Ramogi Republic na kule Mombasa Republic.

MuAfrika anahitaji ukombozi kweli. Wengine wanaungana. Sisi tunatafutiza sababu za kugawanyika.
Hata mzungu Mwingereza amejiondoa EU. Inategemea maslahi unayopata au unayokosa kwenye umoja/Jumuiya husika.

Nyerere alimzuia Mfalme Al Hassan II kujiunga OAU kwa kosa la kukalia POLISARIO Sahara Magharibi. Magufuli alimshawishi Mfalme Mohammed VI kujiunga AU akajiunga January 31, 2017 nyuma ya South Sudan. Alikuja JMT na kupewa 21 gun-salute.

USA ilijitenga toka Jumuiya ya Madola.

Zimbabwe ilijiondoa Jumuiya ya Madola.

Nyerere aliiondoa South Africa Jumuiya ya Madola 1961 ikarudishwa 1994.

Nyerere aliingiza China kwenye kundi la nguvu ya veto kwa kampeni kali kabisa kwenye UN GA.

Wafuatao pia walikuwa chini ya udhamini wa Uingereza na wakagoma kujiunga Jumuiya ya Madola:-

1. Misri ilipata uhuru 1922 (Nyerere anazaliwa). Hili ni taifa la kwanza kisiasa duniani, Israel ilikuwa taifa la kwanza Kiroho duniani.

2. Iraq ilipata uhuru 1932.

3. Transjordan ilipata uhuru 1946.

4. Palestina ilipata uhuru 1948.

5. Sudan ilipata uhuru 1956.

6. Somaliland ilipata uhuru 1960.

7. Umoja wa Sovieti uliundwa 1922 (Nyerere anazaliwa) ukaja kuvunjika 1991.

Kujiunga na kujitenga vinategemea maslahi na usalama wa anayejiunga au anayejitoa. Nadhani ni hivyo.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Wakati tunabishana kwenye ile thread ya Kiinglish;

"Rise of Raila and Fall of Ruto​

• Thread starter [SIZE=4]Filosofia ya Rorya[/SIZE]

. • Start date"Saturday at 3:51 PM

sikujua kuwa nabishana na mwehu! Nisamehe sana ndugu yangu!!!
Kumbe najadiliana na wewe mwenye ugonjwa wa "Fall of Human Brain Rise of Owl Brain" Bundi wa Sumbawanga kabisaaa... Nadhani ukimaliza mzunguko wako wa hedhi wa Julai unaweza kurudi kwenye mada maana utakuwa na utulivu wa akili vinginevyo usubiri hadi umalize menopause (komahedhi) 2030 japo ubongo wako pia utakuwa muda huo unahitaji boosters za Mirembe na pengine Ma-gynaecologists.

Heal well soon.
Screenshot_20230619-001358.jpg


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kiapo namba 1 na pekee cha JWTZ ni kuilinda CCM kwa namna yoyote ile hivyo vyengine ulivyo andika havina maana yoyote ile.
Nadhani wanalinda serikali ya CCM siyo CCM (wanalinda serikali iliyoko madarakani).

Ndiyo maana hata Raila Mahakama imegoma kuamuru kufunguliwa server ya kura ambayo ndiyo empirical evidence pekee lakini KDF (jeshi) linaendelea kulinda serikali ya KK (sitting government).

Trump pia Putin alimuongezea kura toka Moscow kiteknolojia hadi akawa rais na jeshi limeendelea kumsalute kama Amiri Jeshi Mkuu ktkt ya lawana toka pande 4 za dunia.

Kwenye siasa maumivu makali ni mengi mkuu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe najadiliana na wewe mwenye ugonjwa wa "Fall of Human Brain Rise of Owl Brain" Bundi wa Sumbawanga kabisaaa... Nadhani ukimaliza mzunguko wako wa hedhi wa Julai unaweza kurudi kwenye mada maana utakuwa na utulivu wa akili vinginevyo usubiri hadi umalize menopause (komahedhi) 2030 japo ubongo wako pia utakuwa muda huo unahitaji boosters za Mirembe na pengine Ma-gynaecologists.

Heal well soon. View attachment 2703834

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Wewe Kaa ukijua hata ufanyeje Raila WILL NEVER Be a President of Kenya!
 
Serikali zao za majimbo(county) zilizo chini ya ODM zinajiendeshaje zina maendeleo yoyote??
 
Kinachoweza kuwasaidia Luo wa Kenya kupata utaifa wao (ambayo ndiyo dawa pekee) ni yafuatayo:-

1. Waluo waandae waraka maalum wapeleke UN kuomba eneo lao kupewa mamlaka kamili ndani ya Jamhuri ya Kenya na baada ya miaka kadhaa wapewe nchi yao kamili Jamhuri ya Ramogi.

Huu ndiyo utaratibu salama usiohusisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kujitenga ambayo humwaga damu za watu wasio na hatia.

Mifano ya nchi zilizodai uhuru toka nchi-mama zao, lakini zikaanza na mamlaka kamili na hatimaye kutangazwa jamhuri ni hizi:-

Asia.
1. Pakistan ilitoka ndani ya India.

2. Afghanistan ilitoka ndani ya Pakistan.

3. Taliban inatafuta kutoka ndani ya Afghanistan.

4. Taiwan (a.k.a Formosa) ni mamlaka kamili ndani ya Uchina.

5. Hong Kong ni jimbo lenye utawala maalum ndani ya Uchina. Julai 1, 1997 ilirudishwa Uchina baada ya kujinasib kama nchi huru na kuzua mgogoro mkubwa kimataifa.

6. Tibet (The Roof of the World) ina jalada UN la kuomba kujitenga na Uchina. Sasa hivi tayari ni mamlaka kamili ndani ya Uchina.

Afrika.
1. Senegal ilijitenga kutoka Shirikisho na The Gambia (Senegambia Confederation) Agosti 1989.

2. Eritrea ilijitenga kuwa taifa kamili toka Ethiopia.

3. Somalia waligawana nchi hadi kufika vinchi 11 ambavyo kuingia kwa mwingine unadaiwa visa (viza).

4. Sudan Kusini ilidai utaifa wake ikapewa.

5. Darfur iko kwenye mchakato wa kutafuta utaifa wake.

6. Biafra ilitafuta utaifa wake chini ya Gen. Chukwuemeka Odumegwu Ojukwu haikufanikiwa lakini serikali ikaanzisha majimbo kamili chini ya shirikisho.

7. Tigray inatafuta kujitenga kwa njia ya vita.

Luo wa Kenya waanze sasa kutafuta Ramogi nation ndani ya Kenya.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Sababu za kujitenga ni zipi ?... kwanini iwe ni kabila moja tu ?......hadithi za kubuni tu hizi.
 
Back
Top Bottom