Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
Happy New year ..
Mwaka jana Baada tar 31 Dec 2023 tumeshuhudia Yanga ikiikanda jtimu ya jamhuri Kwa kichapo Cha 5 lkn Kuna vitu vya kushangaza
Je jamhuri ni wadhaifu
Jamhuri imefungwa 5 na Yanga B ...lkn pia kikosi Cha jamhuri ni tia maji tia maji ( sio ghali) ukilinganisha na kikosi Cha Yanga B
Simba walikandwa 5...1 na Yanga ....huku Simba ikiwa imesheheni top classic players wa kimataifa pia Simba ikiwa kwenye peak kubwa ya ubora hapa Africa
Swali ni Je .... tuseme jamhuri ni wadhaifu ( Yanga kapiga bomb mochwari????
Mwaka jana Baada tar 31 Dec 2023 tumeshuhudia Yanga ikiikanda jtimu ya jamhuri Kwa kichapo Cha 5 lkn Kuna vitu vya kushangaza
Je jamhuri ni wadhaifu
Jamhuri imefungwa 5 na Yanga B ...lkn pia kikosi Cha jamhuri ni tia maji tia maji ( sio ghali) ukilinganisha na kikosi Cha Yanga B
Simba walikandwa 5...1 na Yanga ....huku Simba ikiwa imesheheni top classic players wa kimataifa pia Simba ikiwa kwenye peak kubwa ya ubora hapa Africa
Swali ni Je .... tuseme jamhuri ni wadhaifu ( Yanga kapiga bomb mochwari????