Kimsingi, nawapongeza viongozi wa nccr kwa kumvua ukatibu mwenezi kafulila,hii ni kwa sabubu amejifanya anamtuhumu mwenzake huku akijua kuwa yeye ni sehemu ya matatizo ya chama, hii iko wazi kwa kuwa kafulila ameshindwa kuitumikia nafasi hiyo, hivi tujiulize ni nani aliyekuwa anajua kuwa Kafulila ni Katibu mwenezi wa NCCR taifa?jibu ni rahisi, hakuna na iwapo wapo ni wachache ndani ya nccr,sasa tujiulize iweje msemaje wa chama hajulikani halafu tumtetee kuwa ni mchapakazi?huo utakuwa ni uhuni kwa wale wote wanaomtetea kafulila,tumekuwa tukishuhudia na kusikia kuwa makatibu wenezi wa vyama vingine wakizunguka nchi nzima kueneza vyama vyao,Je kafulila alikuwa wapi?Kwa maoni yangu katibu mkuu wa nccr taifa alichelwa kumuondoa katika nafasi hiyo,hakuwa na umuhimu wowote zaidi ya kuchochea migogoro ili awe mwenyekiti .
Big up NCCR kwa kumshughurikia bwana migogoro Kafulila, nashauri kumvua hata uanachama, kumuacha kuendelea kuwa mwanachama wenu mtakuwa mmeonesha utovu wa nidhamu,fukuzeni kabisa kirusi hichoooooooooooooooooo
Machali ni mtusi? Siamini kama mtusi anaweza kushinda ubunge Kasulu, labda Ngara.Nasikia ugomvi ndani ya NCCR-MAGEUZI ni Ututsi (Ruhuza, Machali) na Uhutu (Kafulila). Uhamiaji mnasemaje? Mbatia anawaunga mkono Watutsi!
Vyama vyote vilivyofunga ndoa na CCM lazima vitakufa kama inavyokufa CCM. Gonjwa lile litawamaliza wote, si wanalala kitanda kimoja? Huko magamba EL na JK hapatoshi,huko Appolo Hospital mtu anateketea tartiib, haya wengine wamenuna kunyimwa nishani,wengine wanapinga ongezeko la posho makalio oh sorry za vikao mjengoni wakati wazee wa ndiyooooo wanataka ziongezwe mpaka kilo tano.RAHA TUPU MAJUHA WANAVYO UMBUANA. Natamani 2015 iwe kesho.
Mwananchi lilipowasiliana na Kafulila, alikiri kupokea barua hiyo ya kusimamishwa uongozi, lakini akasema kitendo hicho hakikumuhuzunisha kwa sababu kofia aliyo nayo ya ubunge, ni zaidi ya hiyo ya uenezi.
"Nafasi ya ubunge ni ya juu zaidi ikilinganishwa na ya vyeo ndani ya chama. Ndiyo maana hata Mwenyekiti (Mbatia) pamoja na nafasi ya juu ya chama aliyonayo, alikuwa anataka kuwa mbunge, lakini akashindwa," alisema Kafulila.
hujui lolote chama cuf nikikomavu ndo sasa kinajirudisha upya kwenye nafasi ya kuchukua nchi bara na visiwani siburi joto lauchaguzi na uchaguzi wachama cha cuf uishe uone kafu ina vyorudi we huoni sasa wanaotaka uongozi ndani ya cuf wamewasha moto cuf kunademocracy hatimae uchaguzi utafanyika
ameota mapembe