Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Kimsingi, nawapongeza viongozi wa nccr kwa kumvua ukatibu mwenezi kafulila,hii ni kwa sabubu amejifanya anamtuhumu mwenzake huku akijua kuwa yeye ni sehemu ya matatizo ya chama, hii iko wazi kwa kuwa kafulila ameshindwa kuitumikia nafasi hiyo, hivi tujiulize ni nani aliyekuwa anajua kuwa Kafulila ni Katibu mwenezi wa NCCR taifa?jibu ni rahisi, hakuna na iwapo wapo ni wachache ndani ya nccr,sasa tujiulize iweje msemaje wa chama hajulikani halafu tumtetee kuwa ni mchapakazi?huo utakuwa ni uhuni kwa wale wote wanaomtetea kafulila,tumekuwa tukishuhudia na kusikia kuwa makatibu wenezi wa vyama vingine wakizunguka nchi nzima kueneza vyama vyao,Je kafulila alikuwa wapi?Kwa maoni yangu katibu mkuu wa nccr taifa alichelwa kumuondoa katika nafasi hiyo,hakuwa na umuhimu wowote zaidi ya kuchochea migogoro ili awe mwenyekiti .
Big up NCCR kwa kumshughurikia bwana migogoro Kafulila, nashauri kumvua hata uanachama, kumuacha kuendelea kuwa mwanachama wenu mtakuwa mmeonesha utovu wa nidhamu,fukuzeni kabisa kirusi hichoooooooooooooooooo
Hivi kwenye vyama ili uwe na madaraka lazima uchochee migogoro?