James Mbatia, kama Mulugo

Yeye anaongelea vivutio wewe unaongelea kutembelewa.

Hebu weka sawa hapo.

Hata hivyo, ukishakuwa UKAWA akili zako haziwezi kuwa sawa. Kutaka kuhatarisha amani ya nchi iliyopiganiwa kwa miaka mingi ni laana kubwa.

Hiyo ni dv5
 

Tangu aseme Tanzania hakuna MITAALA wakati watu wanasoma.., wanafanya mitihani..., kuna mfumo unaojulikana wa kuandaa walimu na certification kwa wahitimu NILIMWEKA KWENYE dustbin....
Hana tofauti na kilaza mwenzie aliyesema hakuna serikali wakati anashiniliza maandamano serikali anayodai haipo isitishe bunge la katiba!!!!


​WANASIASA WENGI WA UPINZANI TANZANIA WAKO TOO LOW NA TOO LOCAL!!!
 
Mleta maada tofautisha kati ya vivutio vya utalii na idadi ya watalii.mbatia yuko sahihi mdau
 

Unatumia kigezo kipi kusema hiki ni kivutio kwa wagen maana unaweza Kudhan unavivutio kumbe ni vitu vya kawaida sana kwa wenzetu tofauti kabisa tunavodhania
 

Halafu usipende kukaririshwa hebu google hapo kama utaiona hiyo nafas ya pili unayoigombania kwa povu
 
Unatumia kigezo kipi kusema hiki ni kivutio kwa wagen maana unaweza Kudhan unavivutio kumbe ni vitu vya kawaida sana kwa wenzetu tofauti kabisa tunavodhania

Mkuu nakuomba uanzishe thread mpya maana hiyo ni mada nyingine kabisa tofauti na inayojadiliwa hapa...
 
Halafu usipende kukaririshwa hebu google hapo kama utaiona hiyo nafas ya pili unayoigombania kwa povu

Wikipedia kwa takwimu za 2012 wanaiplace Tanzania kwenye nafasi ya 7 kati ya nchi 45 zenye vivutio vingi duniani...
 
Mkuu nakuomba uanzishe thread mpya maana hiyo ni mada nyingine kabisa tofauti na inayojadiliwa hapa...

Nataka kwanza tujiridhishe na hii kauli kuwa niwapili kwa vivutio vya utalii dunian
 
Dah mtoa post mgumu kubadilika.... ! Yani jamaa wamekufafanuliaaa weee huelewi ! Lzm liwe gamba hili !
 
Nataka kwanza tujiridhishe na hii kauli kuwa niwapili kwa vivutio vya utalii dunian

Hizo takwimu sina uhakika nazo na ndio maana sijaandika mahali popote juu ya nafasi ya nchi yetu kwenye rankings za vivutio...

Pengine walioandika hilo watakuwa na vyanzo sahihi vya takwimu hizo na watatusaidia kwa hilo...
 
[mimi huwa nawashangaa sana wanamsifia mbatia wakati jamaa fulani zembe tu hajui hata anachofanya kabisa]

Kamuulize kibaraka mrema kuhusu kazi ya mbatia................mzee wa watu halali:angry:
 
[mimi huwa nawashangaa sana wanamsifia mbatia wakati jamaa fulani zembe tu hajui hata anachofanya kabisa]

Kamuulize kibaraka mrema kuhusu kazi ya mbatia................mzee wa watu halali:angry:
 
Tanzania is a country with many tourist attractions. More than 44 per cent of Tanzania’s land area is covered with game reserves and national parks. There are 16 national parks, 29 game reserves, 40 controlled conservation areas and marine parks. Tanzania is also home to the famous Roof of Africa, Mount Kilimanjaro. On 6 January 2012 The New York Times awarded Tanzania the 7th position among 45 top destinations to visit in this year 2012.

Tourism in Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia
 

hapo ni wapi imeandikwa ya pili?
 
Kiwatengu, my point is not to get into argument with you or anyone over the Tanzania's position on tourist attractions. All i wanted to do is to show the facts and figures on this discussion.

hapo ni wapi imeandikwa ya pale...
 
Kiwatengu, my point is not to get into argument with you or anyone over the Tanzania's position on tourist attractions. All i wanted to do is to show the facts and figures on this discussion.

thank you!!
but Wabongo sisi ni wa ajabu sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…