Young Warlock
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 328
- 112
Unaamini kuwa Tanzania ni nchi ya Pili kwa kuwa na Vivutio vingi Duniani?
au nawewe ni wakufuata mkumbo tu ?
ha ha ha ha.watalii wa Mombasa wapoje!
Wakuu, Politicians ni
watu wa maneno mengi.
Kwa waliomsikiliza Mbatia kwenye kipindi cha Dakika 45, jana atanielewa
zaidi.
Mbatia alizungumza mambo mengi sana kuhusu uchumi as long alikuwa
anasimama kama Waziri Kivuli wa Fedha..
Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na
vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii
kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism
Organization..
Kama sisi ni wa pili Australia na Switzerland ni za ngapi?
Hapa lazima tufikirie nje ya box..
Mbatia aliongea Uongo mwingine aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari
(Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!
What is this? Anatofauti gani na Mulugo aliyesema Tanzania ni muunganiko
wa nchi mbili Visiwa vya Zimbabwe na Pemba?
Wanasiasa lazma wawe makini hasa wanapo Ongea kwenye Vyombo vya habari
ambapo Watu wanafuatilia,
mimi huwa nawashangaa sana wanamsifia mbatia wakati jamaa fulani zembe tu hajui hata anachofanya kabisa.
Wakuu, Politicians ni watu wa maneno mengi.
Kwa waliomsikiliza Mbatia kwenye kipindi cha Dakika 45, jana atanielewa zaidi.
Mbatia alizungumza mambo mengi sana kuhusu uchumi as long alikuwa anasimama kama Waziri Kivuli wa Fedha..
Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism Organization..
Kama sisi ni wa pili Australia na Switzerland ni za ngapi?
Hapa lazima tufikirie nje ya box..
Mbatia aliongea Uongo mwingine aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari (Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!
What is this? Anatofauti gani na Mulugo aliyesema Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili Visiwa vya Zimbabwe na Pemba?
Wanasiasa lazma wawe makini hasa wanapo Ongea kwenye Vyombo vya habari ambapo Watu wanafuatilia,
Maneno "Kuwa na vivutio vingi vya utalii" na "Kutembelewa na watalii wengi" hayana tofauti ? Kumbuka unaweza kuwa na vivutio vichache duniani, lakini ukaongoza kwa kutembelewa na watalii kutegemeana na jinsi unavyojitangza na ulivyoboresha miundombinu ikiwa ni pamoja na ukarimu wako (customer care) kwa wageni ili wanaporudi makwao wasimulie wenzao au wao wenyewe watake kurudi tena (repeat tourists)
Wakuu, Politicians ni watu wa maneno mengi.
Kwa waliomsikiliza Mbatia kwenye kipindi cha Dakika 45, jana atanielewa zaidi.
Mbatia alizungumza mambo mengi sana kuhusu uchumi as long alikuwa anasimama kama Waziri Kivuli wa Fedha..
Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism Organization..
Kama sisi ni wa pili Australia na Switzerland ni za ngapi?
Hapa lazima tufikirie nje ya box..
Mbatia aliongea Uongo mwingine aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari (Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!
What is this? Anatofauti gani na Mulugo aliyesema Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili Visiwa vya Zimbabwe na Pemba?
Wanasiasa lazma wawe makini hasa wanapo Ongea kwenye Vyombo vya habari ambapo Watu wanafuatilia,
Wewe utakuwa unatumiwa na Lyatonga Mrema kama wewe si mwenyewe.Tambua yeye alizungumzia wingi wa vivutio na si wingi wa watalii. Jua Afrika mashariki mwaka jana tumeongoza kwa watalii kwa kuipiku Kenya.
Wakuu, Politicians ni watu wa maneno mengi.
Kwa waliomsikiliza Mbatia kwenye kipindi cha Dakika 45, jana atanielewa zaidi.
Mbatia alizungumza mambo mengi sana kuhusu uchumi as long alikuwa anasimama kama Waziri Kivuli wa Fedha..
Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism Organization..
Kama sisi ni wa pili Australia na Switzerland ni za ngapi?
Hapa lazima tufikirie nje ya box..
Mbatia aliongea Uongo mwingine aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari (Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!
What is this? Anatofauti gani na Mulugo aliyesema Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili Visiwa vya Zimbabwe na Pemba?
Wanasiasa lazma wawe makini hasa wanapo Ongea kwenye Vyombo vya habari ambapo Watu wanafuatilia,
Wakuu, Politicians ni watu wa maneno mengi.
Kwa waliomsikiliza Mbatia kwenye kipindi cha Dakika 45, jana atanielewa zaidi.
Mbatia alizungumza mambo mengi sana kuhusu uchumi as long alikuwa anasimama kama Waziri Kivuli wa Fedha..
Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism Organization..
Kama sisi ni wa pili Australia na Switzerland ni za ngapi?
Hapa lazima tufikirie nje ya box..
Mbatia aliongea Uongo mwingine aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari (Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!
What is this? Anatofauti gani na Mulugo aliyesema Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili Visiwa vya Zimbabwe na Pemba?
Wanasiasa lazma wawe makini hasa wanapo Ongea kwenye Vyombo vya habari ambapo Watu wanafuatilia,
Kweli shughuli ipo mada uanzishe mwenyewe halafu unajiuliza swali mwenyewe. Usiogope rudi darasa la tatu uanze jifunza jiografiaMkuu usisome mambo kwa kukurupuka wewe, hivyo vivutio vingi ni katika level gani?
Hizo nchi zinazotembelewa ni nini kinasababisha hadi zinatembelewa?
Unaamini kuwa Tanzania ni nchi ya Pili kwa kuwa na Vivutio vingi Duniani?
au nawewe ni wakufuata mkumbo tu ?