Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism Organization..
Mtoa mada anajichanganya mwenyewe, mods toa hii kitu haraka sana
Wakuu, Politicians ni watu wa maneno mengi.
Kwa waliomsikiliza Mbatia kwenye kipindi cha Dakika 45, jana atanielewa zaidi.
Mbatia alizungumza mambo mengi sana kuhusu uchumi as long alikuwa anasimama kama Waziri wa Kivuli wa Fedha..
Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism Organization..
Kama sisi ni wa pili Australia na Switzerland ni za ngapi?
Hapa lazima tufikirie nje ya box..
Mbatia aliongea Uongo mwingine aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari (Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!
What is this? Anatofauti gani na Mulugo aliyesema Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili Visiwa vya Zimbabwe na Pemba?
Wanasiasa lazma wawe makini hasa wanapo Ongea kwenye Vyombo vya habari ambapo Watu wanafuatilia,
Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism Organization..
Kama sisi ni wa pili Australia na Switzerland ni za ngapi?
Mbatia aliongea Uongo mwingine aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari (Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!
Yeye anaongelea vivutio wewe unaongelea kutembelewa.
Hebu weka sawa hapo.
Hata hivyo, ukishakuwa UKAWA akili zako haziwezi kuwa sawa. Kutaka kuhatarisha amani ya nchi iliyopiganiwa kwa miaka mingi ni laana kubwa.
Mkuu uwe makini siku nyingine unapojaribu kufafanua kauli iliyotolewa na mtu mwingine...
Kwa namna tu ulivyoandika hapa ni dhahiri kuwa uelewa wako wa lugha ya Kiswahili una mushkeli...
Kuwa na vivutio vingi ni suala moja, kutembelewa na watalii wengi ni suala jingine kabisa...
Unaweza ukawa na vivutio vingi lakini huvitangazi, sasa sijui hapo utapataje watalii wataokutembelea!!! Na pengine huu ndio ulikuwa msingi wa hoja ya Bw. Mbatia.
Wewe utakuwa unatumiwa na Lyatonga Mrema kama wewe si mwenyewe.Tambua yeye alizungumzia wingi wa vivutio na si wingi wa watalii. Jua Afrika mashariki mwaka jana tumeongoza kwa watalii kwa kuipiku Kenya.
kama watalii
wanakabwa.kama wanaibiwa mahotelini.kama wenyewe tunajitia nuksi za
ugaidi.kama hatujitangazi.unategemea watalii watakuja huku
tz