Kwahio na wewe untaka kwenda kumuimbia mchepuko wako na kujirusha au??😕habari wakuu....kuna nyimbo ya taratibu ya kiingereza yakitambo ivi....nimeisahau jina na mwimbaji pia ila naijua baazi ya matukio katika video ya huo wimbo.iko ivi.....
mwimbaji ni mwanaume na anaimba kwa uchungu sana pia wakati anaimba huwa anavua viatu....kisha saa....na mwisho wa nyimbo anajirusha ghorofani.
kwa mwenye kuijua tafadhali niambie jina nikipata link ya youtube nitashukuru zaidi.
daah safi saana , bonge ya ngoma hiiwow!shukran mkuu nimefurahi sana.........
nilitaka kusema pi lakini kumbe ni farasi, hiyo simanyiJF kiboko.....na Mimi natafuta ile movie ya Farasi alikuwa kwenye meli.....Meli ikazama akaokoka yeye na mtoto kama wa miaka 6 hivi...... wakasombwa hadi kwenye kisiwa.......sijui inaitwaje.......
Farasi mwenyewe mweusi......
Suimanyile?nilitaka kusema pi lakini kumbe ni farasi, hiyo simanyi