Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,254
*_KANISANI_*
_Mchungaji alisema;_
*_FANYA JAMBO MOJA LA KUMSHANGAZA MUNGU._*
_*Dakika mbili nyingi,Jamaa mmoja akakimbia na kikapu chenye sadaka!*_

_Mchungaji alisema;_
*_FANYA JAMBO MOJA LA KUMSHANGAZA MUNGU._*
_*Dakika mbili nyingi,Jamaa mmoja akakimbia na kikapu chenye sadaka!*_


safi sana, mchungaji hatarudia tena hiyo kauli.