Ninataka katika kipindi chote hicho cha mwezi mmoja niutumie kutibu tatizo nililo nalo na kupona kabisa ili nitakapo rudi kwa mke wangu niwe na confidence ya kushiriki nae tendo la ndoa.
Pia naogopa aibu iliyo taka kunitokea usiku wa jana isije kunitokea tena kwa sababu jambo hilo liliniogopesha sana na sitaki mke wangu anione mimi ni mwanaume wa hivyo ingawa sijui ananichukuliaje mpaka sasa.
IDADI KUBWA YA WANAUME WALIO KATIKA NDOA AMBAO WANAKABILIWA NA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, WANASHINDWA KUPATA TIBA YA TATIZO LINALO WAKABILI KWA SABABU YA KUTOKUWASHIRIKISHA WAKE ZAO. WANAUME WANAO WASHIRIKISHA WAKE ZAO HUPATA NAFUU YA HARAKA SANA KWA SABABU MKE NAE ANAKUWA ANAJUA TATIZO LINALO MSUMBUA MUME WAKE NA ANAWEZA KUSHIRIKI KATIKA KUMUANDALIA LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE SHIDA YA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
Ha ha ha ha yamemkuta mumeo nin? Ndio maana tulikwambia uje upate burudan ukajifanya unataka wenye mahela sasa pambana na Hali yako.
Nimewaita kuwauliza uongozi mliacha lini?Ha ha ha ha yamemkuta mumeo nin? Ndio maana tulikwambia uje upate burudan ukajifanya unataka wenye mahela sasa pambana na Hali yako.
Huyu si tatizo la nyeto, yeye ni mdhaifu tu. Pole yake!"...Chanzo cha tatizo langu nadhani ni kujichua kwa muda mrefu kwani nilianza kujichua mwaka 1992..."
Wengi wanaokushauri hapa walikuwa wananyonya wakati wewe unaungurumisha punyeto.
Sasa kama unahisi tatizo ni kupiga punyeto kwa nini usiache?!
mamdogo hawa kwa ushauri au kuona wenzao
Hahahaa!! Wanqjijua wenyewe.mamdogo hawa kwa ushauri au kuona wenzao