Jambo hili ni la kuzingatia: Ukiona mtu amenusurika kufa katika tukio la kufyatuliwa risasi zaidi ya thelathini ujue liko jambo la Mungu linaendelea

Ukiona mtu kanusurika tukio la kuchapwa risasi nyingi kama hizi kuna uwezekano huyo mtu ni msaliti wa nchi ama alitaka kuwatapeli mabwana zake waliokuwa wanamfadhili. Siku zote mzungu atatumia waafrika wasaliti, atakutunza na kukupa msaada ili afaidike huko mbeleni...akikuona unamzingua anakutungua.
 
Vipi akina chifu mkwawa nao, vipi machifu walionyongwa,hebu niambie kuhusu wao, hapa Kuna darasazuri

Not related. Hao walikuwa vitani, anayemuwahi mwenzake anamfanyia chochote. Of course vita haikuwa halali but it was a war.
 
Not related. Hao walikuwa vitani, anayemuwahi mwenzake anamfanyia chochote. Of course vita haikuwa halali but it was a war.
Unasemaje kuhusu lissu? Ukiweka siasa na upenzi wa vyama huezi ona lissu anafanya nini, na Ukiweka upenzi wa vyama mbele, huezi ona serikali inafanya nini, huezi ona madaraja, huezi ona umeme, huezi ona elimu bure kwa hiyo ugonjwa huohuo unaowasumbua hao wanaoitwa wapinzani ndo unaokusumbua wewe, lissu anachoongelea ni sawa na serikali mambo inayoyafanya kwa ajili ya maendeleo ni sawa, hawa wote wako katikati harakati za kufanya nchi iwe bora zaidi, sema wanatofautiana katikati mitazamo, sasa wewe ambaye siyo mwanasiasa, kaa kati uwaangalie wakipambana kwa ajili ya nchi
 
Ingekuwa unayoyasema yangeuwa na uwiano wenye usawa hats usingekuwa hapa kutetea hoja hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…