Kosa limefanyika baada ya kuingia kwenye mahusiano ambayo yanaumiza.Sasa kabla ya kufunguka tayari kosa limesha tangulia.Hivi ni kosa gani uwezi kulifanya katika kuingia katika mahusiano na je ikiwa umeingia katika mahusiano ni jambo gani uwezi kumsamehe mwenza wako
Hapana acha niishi bila mahusiano maana asaivi nichangamoto sana kupata mahusiano sahihiInawezekana kabisa kumpata
Mawazo mazuri sana 👊👊Hapana acha niishi bila mahusiano maana asaivi nichangamoto sana kupata mahusiano sahihi
Ongeza sauti Me wa Dar wakusikie vizuri maana hawana maamuzi kabisa sababu ni umarioo....mwanamke akishachepuka hapaswi kabisa kusamehewa hataiwaje, tena ikibidi apigwe mawe mpaka kufa
Aki-cheatHivi ni kosa gani uwezi kulifanya katika kuingia katika mahusiano na je ikiwa umeingia katika mahusiano ni jambo gani uwezi kumsamehe mwenza wako?
Kwahiyo umeoa tena?Nilimdunda akanipeleka polisi nikakaa masaa 12 siwezi saau ndoa ya miaka 10 ilivunjika
Kwani huchepuka bila sababu?mwanamke akishachepuka hapaswi kabisa kusamehewa hataiwaje, tena ikibidi apigwe mawe mpaka kufa
Nobody is perfect...Hivi ni kosa gani uwezi kulifanya katika kuingia katika mahusiano na je ikiwa umeingia katika mahusiano ni jambo gani uwezi kumsamehe mwenza wako?
Naunga mkono hoja, we all need forgiveness.
N A K A ZI A1. Kuchepuka
2. Kunishika tako.
Haya hayasameheki kamwe
yan mtu anaitwa mwanamke huwez pata formula yake yan hawaelewek mzee iwe kwa tamaa wapo weng weng isiwe kwa tamaa wapo weng,mfano hai mabint zetu wa chuo aseh wanaliwa sana yan ukichunguza mambo hayaelewekUkiona mwanamke anacheat kuna sababu ni wachache sana wanaocheat kwa tamaa zao