Osaba
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,942
- 802
Kuna jambazi lilivamia nyumba fulani,likamkuta m2 na mke wake,bahati likachukua vya kuchukua na likataka kuua,likasema kabla cjaua ninaulizaga majina haya mwanamke unaitwa nani?mwanamke akajibu naitwa eliza,jambazi likasema bahati yako una jina la mama yangu,haya mwanaume unaitwa nani?me naitwa frank ila mtaani nimezoeleka kwa jina la Eliza jambazi hoi!