Masuala ya wawili walioana wewe yakuhusu nini? Kwani kubeba mtoto ni dhambi? Heri ya hawa wanaobeba watoto kuliko wanaochovya na kuwatelekeza watoto. Hapa nadhani kaka yangu Lyatonga ananielewe vilivyo.
Kama mke ni huyo hapo mbele hata mm nabeba, kwanza huwa nasikia raha sana ninabobeba toto langu copy right na mimi. Anayekataa kubeba mtoto wake mwenyewe atabebaje wa wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.