Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Jambo kabisa, wewe je? Mimi iko salama na kumbuka sana wewe mana iko potea) ukae vizuri!!
Mie nipo sana tu, BJ we hata kama ukiniona nimelala niamshe tu kwako hata ubishi sina....
Jambo kabisa, wewe je? Mimi iko salama na kumbuka sana wewe mana iko potea) ukae vizuri!!
Pole dada gaga ulikosa uhondo, wiki mbili tu lazima nabanana nae clinicMie pia kusindikizwa ilikuwa nadra mwishomwisho wakati nimechoka ndio alikuwa ananipeleka